CHADEMA sasa ni taasisi imara zaidi

CHADEMA sasa ni taasisi imara zaidi

Saccos ya mtei na watoto wake

Hivi unaweza kuitetea kweli CCM mbele ya watu wenye upeo mkubwa wa mambo ya siasa za vyama vingi kwa maneno mepesi namna hiyo? Au unaweza kuiangamiza CHADEMA kwa hoja dhaifu namna hii.Sasa hoja hizo ndo zinazoifanya CCM ya Kikwete kuonekana kama kijiwe cha wahuni,wapiga dili tu,tofauti na CCM ya enzi za Mwalimu iliyokua inatetewa na vijana mahili wa wakati huo kama akina Edward Moringe Sokoine,Salim Ahmed Salim,Paul Sozigwa n.k.lakini ninyi watetezi wa sasa hivi wa CCM kila kijana anamtetea mtu wake,sio chama.Unaweza kukuta wewe kwa uandishi wako unampigania mtu anaeitwa Mwigulu na wala sio CCM.Maana hicho ulichoandika ndizo kauli za Mwigulu,halafu anautaka Urais.
 
Chadema chama cha kikabila na ukoo kwa upande huo kweli kiko imara make kama hujatokea mikoa yao uongozi ndani ya chama hupati.

Ni bahati yako sana kwa kua unatumia ID ya bandia.Kwa maneno yako haya ambayo hua unayaandika katika kupinga kila mada inayoisifia CHADEMA ambayo ni maneno dhaifu sana na ambayo hayaidhuru chochote CHADEMA ila yanaidharaulisha sana CCM.Kama ungekua unatumia jina lako wewe na wajinga wenzio kama mna watoto,watoto wenu wangewakana hadharani kuwa na Mababa wajinga namna hii. Kama hauna watoto baba na mama yako wengekujua kua wewe ndio hua unapost ujinga huu wangekukana hadharani na wangeenda ofisi za RITA kubadili vyeti vyako vya kuzaliwa nao.Jenga hoja kijana wa kisasa acha vijihoja ambavyo hata wagonjwa wa ugonjwa wa UCHIZI huwadanganyi.CHADEMA inakua kwa kasi nyie mtabakia na vijineno vyenu mlivyokaririshwa na akina NAPE.
 
Aliyesema chadema haifiki mwaka 2015 bila kufa na akamwandaa Mwigulu atumie Ugaidi kama chepuo ya kua chama si huyu hapa
10957867_912711072096655_1874947130096704521_n.jpg
 
first ni chama ambacho kimefanya wananchi kujua haki zao zao nakuamasisha upigaji kura. mfano ni tuzo aliyopata Dr slaa uchaguzi wa mwaka 2010.

Second. Kimekuwa chama kinacho tetea maslai ya wananchi wake. mfano ni pale kinapokataa kupitisha miswada inayoonekana haitakuwa na manufaa kwa wananchi.mfano nipale wanapo piga kelele na kukataa kutoka bungeni adi bunge linahairishwa.

third.Kimefichua mafisadi wengi nchini waliokuwa wanakula hela za wananchi kwa manufaa yao binafsi mfano hii ilipelekea mawaziri kujiuzulu nawengine kupelekwa mahakamani na kufungwa.

Fourth. ni chama pekee chenye uwezo wa kuchukua maamuzi magumu kwa mwanachama mwenye person interest bila uonevu wa aina yeyote. mfano nikuvuliwa uwanachama kwa Zito Kabwe.

five.uongozi ulioimara nasera thabiti hii husababisha wabunge vilaza kuondoka kama john Shibuda na Said Arfi na majembe kuingia kuja kuungana na wachapakazi wenzao kama James lembeli na Ester Bulayo.

BIG UP CHADEMA I WILL NEVER LEAVE ALONE FOREVER TOGETHER.
 
Wabunge wake wana akili nyingi kuliko wa ccm, bila wao nisingekuwa natazama bunge.
 
Chadema naipenda kutoka moyoni. Mbunge mmoja wa chadema ni sawa na wabunge 100 wa ccm ktk ufikiri. Bunge linafuatiliwa na wananchi kwasababu ya chadema, wanatupa hamasa ya kuangalia bunge. Siyo maccm ya ndiyooooooooooooo
 
Chadema naipenda kutoka moyoni. Mbunge mmoja wa chadema ni sawa na wabunge 100 wa ccm ktk ufikiri. Bunge linafuatiliwa na wananchi kwasababu ya chadema, wanatupa hamasa ya kuangalia bunge. Siyo maccm ya ndiyooooooooooooo

unauhakika na unachokichora hapa au upo cona bar?
 
mkuu umewashauri ndugu zako na watu Wa karibu kujiandikisha na pia umejitahidi kuelimisha watu elimu ya urahia na humuhimu Wa kupiga kura kuwatoa maccm madarakani Fanya hivyo kama ujafanya ili chama kiingie ikulu mkuu hiyo kazi tukifanya wote wenye mapenzi ya chama tutakuwa tumekomboa Tanzania
 
Hongera Combra, waambie basi marafiki zako wote unaowafahamu wajiandikishe na kutunza shahada ya kupigia kura
 
first ni chama ambacho kimefanya wananchi kujua haki zao zao nakuamasisha upigaji kura. mfano ni tuzo aliyopata Dr slaa uchaguzi wa mwaka 2010.

Second. Kimekuwa chama kinacho tetea maslai ya wananchi wake. mfano ni pale kinapokataa kupitisha miswada inayoonekana haitakuwa na manufaa kwa wananchi.mfano nipale wanapo piga kelele na kukataa kutoka bungeni adi bunge linahairishwa.

third.Kimefichua mafisadi wengi nchini waliokuwa wanakula hela za wananchi kwa manufaa yao binafsi mfano hii ilipelekea mawaziri kujiuzulu nawengine kupelekwa mahakamani na kufungwa.

Fourth. ni chama pekee chenye uwezo wa kuchukua maamuzi magumu kwa mwanachama mwenye person interest bila uonevu wa aina yeyote. mfano nikuvuliwa uwanachama kwa Zito Kabwe.

five.uongozi ulioimara nasera thabiti hii husababisha wabunge vilaza kuondoka kama john Shibuda na Said Arfi na majembe kuingia kuja kuungana na wachapakazi wenzao kama James lembeli na Ester Bulayo.

BIG UP CHADEMA I WILL NEVER LEAVE ALONE FOREVER TOGETHER.

Dada yangu. Jambo usilolijua ni usiku wa giza
 
first ni chama ambacho kimefanya wananchi kujua haki zao zao nakuamasisha upigaji kura. mfano ni tuzo aliyopata Dr slaa uchaguzi wa mwaka 2010.

Second. Kimekuwa chama kinacho tetea maslai ya wananchi wake. mfano ni pale kinapokataa kupitisha miswada inayoonekana haitakuwa na manufaa kwa wananchi.mfano nipale wanapo piga kelele na kukataa kutoka bungeni adi bunge linahairishwa.

third.Kimefichua mafisadi wengi nchini waliokuwa wanakula hela za wananchi kwa manufaa yao binafsi mfano hii ilipelekea mawaziri kujiuzulu nawengine kupelekwa mahakamani na kufungwa.

Fourth. ni chama pekee chenye uwezo wa kuchukua maamuzi magumu kwa mwanachama mwenye person interest bila uonevu wa aina yeyote. mfano nikuvuliwa uwanachama kwa Zito Kabwe.

five.uongozi ulioimara nasera thabiti hii husababisha wabunge vilaza kuondoka kama john Shibuda na Said Arfi na majembe kuingia kuja kuungana na wachapakazi wenzao kama James lembeli na Ester Bulayo.

BIG UP CHADEMA I WILL NEVER LEAVE ALONE FOREVER TOGETHER.

Big up, you will never leave alone but with Chadema, won't you?
 
Umenena vyema dada yangu hiki chama kina majembe tupu wabunge wa CDM ni wachache bungeni lakini wamewapeleka puta CCM hadi wanatolewa bungeni kwa uonevu
 
Back
Top Bottom