wanasema Step father ni MENTAL HEALTH.
Responsibilities without Authority.
labda labda huyo mtoto usikae nae hapo........hapo ni labda au Uzae nae huyo mwanamke watoto. all in all Simshauri mtu
.
Ukimsoma vzr hapo Paulo anasema sababu kubwa ya kuoa ni kuzia tu matamanio nothing else. so hakuna dhambi ya kutooa au kutoolewa. plus wanawake ni wengi kuliko wanaume so big % ya wadada hawataolewa hata wasagae meno na washinde huko church....Na hakuna faida ya mwanaume kwenye ndoa so why...
Watu hawapendi ukweli. wamezoea kufichwa fichwa mambo. so akitokea mtu akasema ukweli jinsi ulivyo wanachanganyikiwa. Lisu kaulizwa swali na yeye kajibu bila kuuma ila wengine ndio wanaumia. Mkiti ana madoa kwa kweli angekaa tu pembeni sema naona handlers wake wamemwambia kuwa lisu ni hatari...
Hayo ndio maisha ya Uongozi wa kiafrika. umeahau mzee ruksa na mkewe??? Umesahau mkwere na nwanae ,,umesahau Jiwe na kondakta. ofcoz unachoongelea kwenye miiko ya kazi sio sawa na ndio maana najua Abdul atakuja kumruka maana hapo bi mkubwa ashachafuka.....ila ndo africa hii miiko ya kazi...
Shida sio uislam au ukristo shida ni raslimali na siasa za dunia. na ndio maana msumbiji walipoanza tu kuchimba mafuta ghafla magaidi wakatokea. by the way mi ni mkristo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.