Recent content by AggerFirminho

  1. AggerFirminho

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Iran now ana kiburi ni sababu ana nuclear tayari ndio maana haogopi tena. nje anasema anaomba aruhusiwe lakini ukweli ni kuwa analo tayari. ndio maana us yuko busy kuhakikisha jambo linaisha kwa amani. sema ndio hvy tena yai lishapasuka. now namuonea huruma zaidi ukraine maana waume zao watahama...
  2. AggerFirminho

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    wale bila us na uk ni kama mgambo yu wa jiji
  3. AggerFirminho

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Ina maana hata msemaji wa idf hujamsikia au umeamua kufumba macho. kinchi kimezungukwa na majeshi ya us n uk then kinajigamba kina mifumo ya ulinzi ambayo hata hamas waliingia kwa parachutes😁😁.
  4. AggerFirminho

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    naona wanaomba US na UK waintercept hayo makombora yanayokuja. mi nilidhani wanaweza wenyewe nao wanalialiA
  5. AggerFirminho

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    makosa madogo tu yale hata raya katoa juzi
  6. AggerFirminho

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    COAMIN KELLEHER DOGO MALIZIA LIGI.TUTABEBA NDO. AKIRUDI ALLISON HAPO ATATOA PASI ZAKE ZILE FYONGO TUTALIA
  7. AggerFirminho

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    coamin kelleher tangu achukue namba hajapoteza mechi kwa 90 mnts. Amalizie ligi tu. Allison tukutane nae August
  8. AggerFirminho

    Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

    akina clintons wanajulikana kwa sex traficking sema wale ni namba kubwa. ndio maana yule bilionea aliefia gerezani....alikiwa mtu wa wao sana. human sex trafficking hasa kwa watoto wadogo ni bizness kubwa sana kwa hawa wakubwa wadunia. hata huyo diddy kuna kitu kawatibua ndio maana wameruka nae...
  9. AggerFirminho

    Maafisa Usalama wavamia nyumba za Diddy, akakimbia msala na ndege yake binafsi inafuatiliwa huko Antigua Caribbean

    yule russel simon alikimbilia tailand nadhani mpk now ni 10 years. Na alikua mwanae sana
  10. AggerFirminho

    Dark days 17/03/20...

    aliwaogopa na.kuwaonea aibu wenzake. akapeleka hasira kwa wafanyabiashara. huku akiua ajira kibao kwenye hiyo vita yake huku 5years ikipita kavu bila kutoa ajira hata moja.
  11. AggerFirminho

    Kati ya Nyerere aliyetulisha unga wa njano, mahindi ya mifugo Marekani na Michele wa virutubisho yupi bora?

    Scenario tofauti kipindi cha Nyerere nchi ilikuwa na njaa. Na nchi ilikuwa na ukame na tulitoka kwenye vita..... So ilikuwa inevitable. Lakini hii ya Sasa nchi malori yanapishana mpakani kulisha nchi jirani then waenda kuomba msaada WA Michele?
  12. AggerFirminho

    Je, Hayati Magufuli alikabidhi nchi kwa jeshi?

    Yeye mwenyewe aliita ni kijikitabu tu. So akiwa kwa bed ndo anakumbuka kina umuhimu?
  13. AggerFirminho

    Maswali kwa CDF Mstaafu, Venance Mabeyo

    Kwahiyo Mungu aliangusha ndege kumlipiza CDf [emoji23][emoji23][emoji23] punguza HISIA ndugu. We tangu lini nchi hii ikafuata katiba 100% mpk ulilie ifuatwe kipindi hiko? Nchi za kiafrika asilimia 99 ni wasiri kwenye ugonjwa WA kiongozi iwe mdogo au mkubwa... Hata awe na miaka 129 bado...
  14. AggerFirminho

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Si mbaya wacha tukapumzike wiki 2 hizi tukirudi wakati washika ukuta WA London wakilaliwa na city sisi tunambabua Brighton. Tukae juu mazima
  15. AggerFirminho

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Coamin kheleher akiwa golini Nina Amani kuliko allison
Back
Top Bottom