Juzi kati hivi nilikua Dodoma, sasa nikaona kuna kijiwe kinachoma kuku wa kienyeji, nikauliza bei, jamaa akataka kunipa kuku niliyedhani ni kiporo, nikamwambia hapana, nikachagua kuku mwingine, jamaa akanipiga sound, huyu siyo kuku bali ni kanga, ni mtamu kweli kweli
Aisee, nika change...