mkuu haina shida mana bado hujasaini mkataba, ili uweze kuingizwa kwenye payroll lazima uwe umesaini mkataba pamoja na kujaza form zingine za ajira. But to be on a safe side, nenda kwa hr wa kituo cha kwanza umuelezee kwamba umechaguliwa sehemu nyingine na kwamba hutaenda huko.
Mkuu kwanza, mi naamini kama umeweza kumanage kufungua kampuni yako inamaana utakua unaijua vizuri principle ya 'SEPARATE ENTITY' Huwezi kumueka mtu akawa manager kisa ni mpenzi wako, hapo lazima ile kwako. Pili, sisi wanawake tukimpenda mtu huwa ni wavumilivu sana, huwezi ukampenda mtu afu at...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.