Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 34,181
- 99,193
Habari wakuu.
Tarehe 29 October, UTUMISHI waliita watu kazini, nikaitwa na mimi. Baada ya kupata barua toka kwao, nikaenda kituo cha kazi. Huko tukapewa form 3 za kujaza. 1. Personal details. 2.Next of Kin na 3.Medical Examinations. Nikapiga copy ya academic certificates nikaacha pamoja na passport size 3.
Hawakunipa barua ya ajira na wala siku sign mkataba wa kazi... Nikaomba ruhusa ya wiki 2 nije home kujipanga.
.
.
Leo tena UTUMISHI wakaita kazini, na mimi nipo tena. Naipenda zaidi hii nafasi ya saizi. Sio kwamba ile ya mwanzo mbaya, NO, zote sawa Tutor II, ila hii ya pili ndio direct na field yangu.
.
Je, kuna hatari yoyote kuwakacha wale jamaa wa mwanzo na kwenda kwa hii nafasi za pili?
Tarehe 29 October, UTUMISHI waliita watu kazini, nikaitwa na mimi. Baada ya kupata barua toka kwao, nikaenda kituo cha kazi. Huko tukapewa form 3 za kujaza. 1. Personal details. 2.Next of Kin na 3.Medical Examinations. Nikapiga copy ya academic certificates nikaacha pamoja na passport size 3.
Hawakunipa barua ya ajira na wala siku sign mkataba wa kazi... Nikaomba ruhusa ya wiki 2 nije home kujipanga.
.
.
Leo tena UTUMISHI wakaita kazini, na mimi nipo tena. Naipenda zaidi hii nafasi ya saizi. Sio kwamba ile ya mwanzo mbaya, NO, zote sawa Tutor II, ila hii ya pili ndio direct na field yangu.
.
Je, kuna hatari yoyote kuwakacha wale jamaa wa mwanzo na kwenda kwa hii nafasi za pili?