Write your reply...Mswahili ni mwenyeji na mkazi halisi wa pwani ya afrika mashariki(Azania) ikiwa ni pamoja na visiwa vlivyopo karibu na pwani hiyo.Swahili sio kabila japo Swahili INA makabila ndani yake.
Nijuavyo Mimi mswahili in mstaarabu na mkazi halisi wa
ukanda wa pwani ya afrika mashariki(azania).mengine in upuuzi wa kuharibu maana halisi ya mswahili.
Understanding ya Xscape na foolin around ya Changing faces.Nakumbuka wakati nipo o'level miaka ya tisini kuna manzi ya kishua ilitokea kunimaindi muhuni ila kutoa papuch ikawa shida ila mwisho wa siku ililiwa.
Long distance ya brand na Hold on ya Lucky dube huwa namkumbuka sana Bi mkubwa.R.I.P...
Nakumbuka nilimsaidiaga bi dada mmoja kumpakata mwanae ktk daladala,katoto kalinimwagia kojo kiasi kwamba hadi leo sipakati mtoto wa mtu na sikai siti za karibu na mlangoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.