Ndiyo maana wengine wanaoa wake wanne. Washindane wao kwa waoKwahiyo mnataka kusema kwamba wake zenu wanayowaambia watoto wenu ni ya uongo? Yaani wanaume bwana
Badala ya kuacha hayo maovu mnayoyafanya mnabaki kutupa lawama kwa wanawake wanawaowaambia watoto ukweli kuhusu maovu yenu eti kwa sababu tu mnajinyima kuwahudumia
Sasa kwani mkifanya hivyo mnakuwa mmewafanyia favour si ni jukumu lenu kufanya hivyo au? Wanaume kujinyima na kuhudumia familia siyo ticket ya ninyi kufanya maovu mnavyojisikia
Na mtaendelea kulalamika na kulaumu hivyo hivyo hadi mwisho wa dunia si hamtaki kubadilika eti mnadhani sijui kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha ndo suluhisho basi endeleeni kufanya hayo halafu tuone mwisho wake maana badala ya kutafuta suluhisho mnatafuta mshindi
Ndiyo maana wengine wanaoa wake wanne. Washindane wao kwa wao
Uko sawa ila kuna uwezekano kuna wengine hawakuwahi kuisoma. Hiyo statement yako ni sawa kumkataza form one asijifunze What is Biology eti kwa sababu kila mwaka inarudiwa!imerudiwa mara kadhaa humu, inabid nyinyi copy and paste muwe mna acknowledge the source
Tatizo ni kwamba hata mwanamke awe na mabaya kiasi gani,wanaume hatunaga tabia ya kukaa na watoto,eti mama yenu alikuwa hivi,mama yenu alikuwa vile!Kwahiyo mnataka kusema kwamba wake zenu wanayowaambia watoto wenu ni ya uongo? Yaani wanaume bwana
Badala ya kuacha hayo maovu mnayoyafanya mnabaki kutupa lawama kwa wanawake wanawaowaambia watoto ukweli kuhusu maovu yenu eti kwa sababu tu mnajinyima kuwahudumia
Sasa kwani mkifanya hivyo mnakuwa mmewafanyia favour si ni jukumu lenu kufanya hivyo au? Wanaume kujinyima na kuhudumia familia siyo ticket ya ninyi kufanya maovu mnavyojisikia
Na mtaendelea kulalamika na kulaumu hivyo hivyo hadi mwisho wa dunia si hamtaki kubadilika eti mnadhani sijui kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha ndo suluhisho basi endeleeni kufanya hayo halafu tuone mwisho wake maana badala ya kutafuta suluhisho mnatafuta mshindi
imerudiwa mara kadhaa humu, inabid nyinyi copy and paste muwe mna acknowledge the source
Hii post imejirudia eti?
Ama mtoto kutukaniwa tusi zito kwa address ya baba:....'lione sura mbayaaa! Utakuwa lijinga kama baba yako'..... maneno mbofu mbofu kabila hiyo, yamajenga saikolojia gani vichwani mwa watoto!
Umenichekesha saana ila umeongea ukweli saana wamama ndio tabia zao kusema habari mbaya za wababa kwa watoto..
Yani kuwajaza sumu watoto wamjali yeye sio baba yao![]()
Lkn pia mwanaume kufanya makosa sio tiket ya wewe kumsemea kwa watoto na kutake advantageKwahiyo mnataka kusema kwamba wake zenu wanayowaambia watoto wenu ni ya uongo? Yaani wanaume bwana
Badala ya kuacha hayo maovu mnayoyafanya mnabaki kutupa lawama kwa wanawake wanawaowaambia watoto ukweli kuhusu maovu yenu eti kwa sababu tu mnajinyima kuwahudumia
Sasa kwani mkifanya hivyo mnakuwa mmewafanyia favour si ni jukumu lenu kufanya hivyo au? Wanaume kujinyima na kuhudumia familia siyo ticket ya ninyi kufanya maovu mnavyojisikia
Na mtaendelea kulalamika na kulaumu hivyo hivyo hadi mwisho wa dunia si hamtaki kubadilika eti mnadhani sijui kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha ndo suluhisho basi endeleeni kufanya hayo halafu tuone mwisho wake maana badala ya kutafuta suluhisho mnatafuta mshindi
😂😂😂Ama mtoto kutukaniwa tusi zito kwa address ya baba:....'lione sura mbayaaa! Utakuwa lijinga kama baba yako'..... maneno mbofu mbofu kabila hiyo, yamajenga saikolojia gani vichwani mwa watoto!
Tatizo ni kwamba hata mwanamke awe na mabaya kiasi gani,wanaume hatunaga tabia ya kukaa na watoto,eti mama yenu alikuwa hivi,mama yenu alikuwa vile!
Huwa tunakufa nayo moyoni mpaka kifo.Wanawake mna roho mbaya and you are too selfish.
Lkn pia mwanaume kufanya makosa sio tiket ya wewe kumsemea kwa watoto na kutake advantage