Recent content by Africasana

  1. Africasana

    JamiiForums Tanzania KERO Utapeli unaofanywa na kampuni za kubashiri (betting) hasa PARIMATCH

    Daah mm nimedepost 100k toka tar 2/5/2026 hadi leo pesa siioni. Niliwasiliana na voda wakasema muamala ulifanikiwa ila kwenye account yang ya parimatch haionekani… ukiwasiliana nao kwa email wanasema pesa hawaioni😁😁… hapo ndo nilijua hii kampuni ni marapeli wakubwa
  2. Africasana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mnaotumia Parimatch vp huko kwenu inakubali kufunguka?
  3. Africasana

    JamiiForums Tanzania Kwanini Vijana wengi wanafanikiwa wakija Dar es Salaam kuliko mikoani?

    nadhani hii pia inaweza kuwa sababu ya msingi
  4. Africasana

    JamiiForums Tanzania Kwanini Vijana wengi wanafanikiwa wakija Dar es Salaam kuliko mikoani?

    Habari zenu wakuu? Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu.. Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha. Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao...
  5. Africasana

    JamiiForums Tanzania ANUNNAKI: Nadharia za Mungu, miungu, fumbo la sciencenscience na Teknolojia kubwa katika Dunia ya kale, kuanguka Kwa civilization na kuinuka Tena

    Kuna maswali hapa machache tunapaswa kuyajibu kabla hatujarushiana maneno ndugu zangu 1: Ni nani aliwaumba hao Annunak? 2: Ni nani aliiumba hii Dunia, Sayari tunazozijua, pamoja na jua 3: Ni nani aliewaumba hao wanyama mwitu ambao kwa maelezo ya mtoa maada walikuja kufanyiwa modification na hao...
  6. Africasana

    JamiiForums Tanzania Soulmate

    Ok
  7. Africasana

    JamiiForums Tanzania Soulmate

    Habari wanajamvi wenzangu!! Naomba twende moja kwa moja kwenye maada lengwa ili nisiwachoshe, ni mara ya pili nimerudi kwenu Mm ni jinsia ME, umri wangu miaka 30, mrefu kiasi, mweusi kawaida. Elimu yangu ni Shahada lkn sijabahatika kupata kazi, hivo najishughulisha na biashara za kawaida...
  8. Africasana

    JamiiForums Tanzania Serious Relationship

    Nadhani hao watakaokuja baada ya kuwa na kipato kizuri watakua wamefata kipato changu na sio kingine
  9. Africasana

    JamiiForums Tanzania Serious Relationship

    Hapana mkuu sitaki kuwa muongo! Ni shughuri za hapa mjini tu ilimradi mkono unaenda kinywani. Ningekua na kazi nzuri ningesema!
  10. Africasana

    JamiiForums Tanzania Serious Relationship

    Asante kwa ushauri mkuu
  11. Africasana

    JamiiForums Tanzania Serious Relationship

    Habari wanajamvi wenzangu!! Naomba twende moja kwa moja kwenye maada lengwa ili nisiwachoshe Mm ni jinsia ME, umri wangu miaka 29, mrefu kiasi mwembamba, mweusi kawaida. Elimu yanngu ni Shahada but sijabahatika kupata kazi, hivo nimejichanganya mtaani kutafuta riziki hapa na pale. Kwa sasa...
  12. Africasana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume yupi anafaa?

    A good dick can ruin your life if you're not careful.[emoji19] Sent from my iPhone using JamiiForums
  13. Africasana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume yupi anafaa?

    Mmmmmhh Sent from my iPhone using JamiiForums
Back
Top Bottom