Kwanini Vijana wengi wanafanikiwa wakija Dar es Salaam kuliko mikoani?

Africasana

Member
Mar 11, 2020
14
19
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
 
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
Mikoani wana mambo ya kishirikina sana. Ukiwa na nyota ya mafanikio hawakawii kukuroga. Wengi wao wanachowaza ni ushirikina tu. Hawaamini kwenye jitihada binafsi na kumtumainia Mungu.
 
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
Kwenye maisha kila mtu anamuona mwenzie katoboa kikubwa ishi maisha yako achana na ya wengine utaona kuwa nawewe kuna sehemu umefikia
 
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
Mzunguko wa hela ni mkubwa. Halafu ndo jiji lenye biashara na kazi nyingi. The same to Oslo, Stockholm, Copenhagen, Helsinki, London, paris etc.
 
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
kuna usemi unasema NABII HAKUBALIKI KWAO- hivyo nafikiri inaweza kuwa ndio sababu pia ukienda kufanya kazi nje na Mkoani kwako unathubutu kufanya kazi yoyote na kujituma kwa bidii bila kuchagua kazi kwani unakuwa huna akili ya kuwaza kuhusu namna ambavyo watu wanakufikiria(hakuna aibu).
 
Kufanikiwa sawa ila wachache sana huko mafinga kuna watu wanapiga pesa mtu anaweza akakupa million 30 anakwambia nitunzie wakati dar ukitoa elfu kumi kwenye daladala konda na abiria wote wanashanga ila dar watu wana njaa sana.
 
Kuna baadhi tu ya makabila tu wachaga,wakinga na watu wakigoma vijana wengi hapo dar ni misheni town wasiokuwa ata na uhakika wakumiliki ardhi Wala nyumba hata kurudi makwao wanaona aibu hawana chakutambishia washikaji waliowaacha vijana wa mkoani Wana uhakika wa kujenga
Dar watu wana njaa aisee sijui huyu anaongelea dar ipi ukimkopesha mtu elfu kumi anaweza mpaka kuhama mtaa.
 
Habari zenu wakuu?

Kuna hoja hapa naomba kuileta kwenu..

Kama mmejaribu kufatilia, Vijana wengi sana wanathubutu kutoka mikoani na kwenda Dar es salam kutafuta maisha.

Wengi wanaenda kutafuta fursa ambazo kwenye mikoa waliyopo hazipatikani, na sanasana ni fursa za kibiashara. Baadhi yao wanafanikiwa kutoboa na baadhi hawatoboi.

Tuzungumzie hawa wanaofanikiwa kutoboa. Vijana wengi wanafanikiwa kutoboa Dar tofauti na walipokua mikoani kwao. Yaani unaweza kuwa na kijana mwenzio mna fani moja, ww ukabaki mkoani (mfano Mwanza) yy akaenda Dar, akaenda kufanya kilekile unachokifanya Mwanza lkn yy akawahi kutoboa kuliko ww. Sina maana kwamba hawapo wanaotoboa mikoani, wapo wwngi tu lkn naona ni rahis zaid kutoboa Dr kwa kijana kuliko mkoani.

Binafsi nina washkaji zangu wawili tulimaliza nao chuo. Baadae tukasota sana kutafuta ajira lkn tukajikuta tumeangukia kwenye ufundi. Katika kujitafuta washkaji wakaenda Dar mimi nikabaki mkoani, maisha waliyonayo huwez ringanisha na mm kabisa, wako mbali sana mpaka nashawishika na mimi kwenda Dar.

Kuna siri gani imejificha hapa? Au ndo ule msemo kwamba “huwez fanikiwa kwa kufanya biashara sehem uliyozaliwa”
Au ni sababu ya population? au ukifika Dar automatically akili yako inajitune kuwaza kutafuta kwa nguvu zaid kuliko mikoani?
Population ya dar ni kubwa sana na mzunguko wa hela upo dar hata uuze karanga unatoboa
 
Bila pesa huli, hugongi, hulewi, huheshimiwi.
Utapata tu akili.

Kijijini kwetu bila pesa mbususu unapata, utalewa tani yako, msosi ndo bwerere ila tu utabweteka kuja kushtuka 40 yrs hii hapa na huna kitu.

Mjini muda ni mchache sana, sio dar tu miji mingi iliyochangamka vijana wapenda fursa wamekimbilia huko na kuachana na vijiji walivyozaliwa.

Kingine nachodhani ni sababu, ni kua waafrika wengi ni wavivu, anafanya kazi mpaka apate msukumo fulani. Akiwa anapata kila kitu kirahisi anaridhika na utafutaji wake unapungua, ila mjini ukitaka kizuri basi gharamia, huu ni mjeledi unaofanya kijana achakarike na abuni mbinu ili asurvive.

Kingine no sifa tu kua yupo mjini.
 
Back
Top Bottom