Hivi mnataka Magufuli aweke nchi rehani apate hela ya kuwafungia awalishe? Aya Corona ipo and so what, mbona hao mnaotaka watusaidie kuhusu hii Corona ndo wanakufa kuliko sisi? Acheni usenge fanyeni kazi tukuze uchumi tutakao kufa tufe watakao ishi watanufaika na tukichowaandalia.
Kuna vijana wa kitanzania bado wanaishi kwenye historia ya nyani kuwa watu , na siku zote wanaishi kwenye maisha yakusema yaani wenzetu wenzetu na mpaka kesho wanabishana hawaoni kama mtu mweusi anaweza chochote hadi sapoti ya mzungu laiti wote wangeweza kuwaza japo kwa mwaka tu kama Magu...
Ukweli ni kwamba picha nyingi za hao wadada sio wadada kweli ila ni watu wenye nia ya uchunaji najua unajua namaanisha nini, kiufupi matapeli, ukiona hivyo jaribu kufanya uchunguzi zaidi utuambia umepata nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.