Vijana wenzangu tusikate tamaa tuongeze juhudi, maarifa, na kumtegemea Mungu kwa sana kila kitu kinawezekana chini ya jua[emoji3508].
Wengi wao walio fanikiwa hawakukata tamaa walikutana na changamoto nyingi sana katika kupigania ndoto zao, thus why leo tunawaona ni watu wenye mafanikio katika...
Unacho kisema ni kweli yaani hawa wabunge kinacho fanyika ni unyonyaji wa wananchi......kunatakiwa sheria zifanyiwe amendment, kwa mabadiliko ya sasa kutokana na ongezeko la wasomi nchini kigezo cha darasa la saba kuwa ni sifa ya kuwa mbunge kifutwe...
Mimi binafsi ninacho kiona sio kwamba ni matumizi mabaya ya pesa always ukitaka concentration ya citizens ni lazima uwe mtu mwenye ushawishi au nafasi fulani ya juu serikalini , so waziri anacho kifanya ni kuchukua attention ya watu ili ujumbe wake ufike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.