Kuhangaika kwenu kumeonesha wazi sivyopenda utawara wa sheria.
Sidhani kama taaluma ya sheria imeishiwa hadi ihitaji ushauri nje ya wanasheria.
Tuacheni tuchague atakae simamia RULE OF LAW and not RULER OF LAW! Maana haki imekosekana na wananchi wamelazimishwa dhambi ya unafiki kusema serikali...
Mtoa mada wewe mwenyewe ni CCM pure.
Sasa sijui tukuamini wewe usiyemwanasheria bali mwana CCM au Lisu?
Dr Ellen sio mjinga. Polisi wanauwawa na usalama wa Taifa na hao ndio walikusudia kummaliza kipindi anachunguza mwenendo wa uchaguzi mwaka juzi. Hawezi pigania huo upuuzi ulokubuhu.
Na...
Lisu hayuko serikalini. Serikali huundwa na chama tawara.
Elewa kuwa ukisema serikali kwa sasa unamaanisha CCM. Lisu ni CHADEMA.
Sioni hoja ya msingi kwenye madai yako.
Hapa Biblia hunifariji "Makwazo hayana budi kuja lakini ole wake ayaletae makwazo".
Mtoa maada umejitangaza kuwa wewe ni mkristo, but i doubt. Uko vuguvugu, simama imara usijekutapikwa.
Umeandika vyema sana.
Kwani wale wengine wenye dizaini ya Makonda walishtakiwa na mwananchi wa kawaida? Walitumbuliwa na wala taratibu za kushtakiwa na kupelekwa mahakani hazikufuatwa. Hivyo Makonda ATUMBULIWE.
Kwani wengine walichunguzwa na mwananchi wa kawaida? Walichunguzwa na serikali...
Awali niliku-quote nikakuuliza juu ya:
1. Nani aliuza Kiwila Coal Mining. Je, aliendana na ahadi zenu juu ya kulitumikia Taifa bila kuweka maslahi yake binafsi mbele?
2. Kitendo cha wana-CCM kuhusika na Tegeto Escrow ni kuendana na ahadi zenu?
Ndo maana nimesema hatuhitaji AHADI. Tunataka maendeleo.
Nani kasema tunahitaji AHADI ili tuendelee?
Hizi ahadi ziliandikwa kwenye Adhimio la Arusha February 5 1967, leo ni miaka 50.
Swali.
Mtazitekeleza lini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.