Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,227
- 6,356
>> RAMLI CHONGANISHI >>>
Una wasiwasi, vipi....umeshitukia mtoto ulienae si wako ama?
>> RAMLI CHONGANISHI >>>
Hili ni kweli Mkuu??Au chukua uume mguse nao kichwani akilia jua sio wako huyo
Gentamycine pole kaka. Ila nakubaliana na wewe kuwa utafiti na juhudi za mtu ziheshimiwe.
Ngoja nikafanye utafit nitarudiInteresting!
Sio lazima wafanane Viungo vyote hivyo unavyotaka!. Hata kufanana Sura kunatosha au kingine tofauti na sura labda Macho, masikio au nywele!Na hiyo ndio hoja inayo nipa nguvu ya kulipinga hili kwa nguvu zote maana kuna bwana mdogo ana watoto mapacha hapa lakin viganja vyao tu kwa vinatofautiana kabisa sasa sijui usahihi wa hili ukoje na madogo ukiwaona wamefanana na baba yao kichwa sura na kika kitu huo ni sawa tu na ule wa mara oo ukiona mwanamke ana mdomo sijui ukoje basi na maumbile yake sijui vipi ,,yote ni uzushi hayana ukweli.
Hakuna fact yoyote si unajua tamaduni zetu huwa zina makando kando mengi sanaHili ni kweli Mkuu??