Nakumbuka kutoka Arusha, kwenda Tabora. Kufika sekenke! Siku mbili pale Baada ya lorry kufunga njia. Barabara ilikua mbaya! Massimo, vumbi nk. Makondacta walikua wanne pamoja na mafundi humohumo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.