Recent content by adolay

  1. A

    TANZIA William Malecela (Le Mutuz) afariki Dunia

    Nikweli Kuna kitu hapo sawasawa.
  2. A

    Hii Super League Ina Mapungufu Makubwa

    🙄🙄🙄🙄🙄
  3. A

    Kwanini Mungu hupiganiwa na kutetewa wanadamu zaidi kuliko mwenyewe?

    Kama dini na waumini wanaamini Mungu ndio mwanzo na mwisho Mungu hana mpinzani...... Mungu anauweza kufanya lolote muda wowote kwa mtu yeyote Maana yake wanaojifanya mbele mbele kumpigania Mungu.... wapumbavu, wajinga na vilaza. Yaani eti binadam anajifanya kumpigania na kumtetea Mungu...
  4. A

    Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

    Mpaka muda huu sijapata wakunitongoza....... Inabidi nisepe nazawadi yangu wallah, wadada mnakwama wapi? 😄
  5. A

    Leo zamu ya wadada wa JamiiForums kutongoza wakaka wa humu! Tuone vocal zenu

    Atakaye nitongoza Leo zawadi nono .... narudia zawadi nono
  6. A

    Kikosi cha Yanga kikiwa hivi unatabiri nini Kimataifa?

    Mimi mshabiki wa Yanga Kwanini timu imekuwa ya wageni kwa 95% Inamaana wazawa hatuna uwezo kabisa? Tunauwa vipaji vya wazawa
  7. A

    Wadada wengi wanaouza mihogo mibichi mitaani wanatongozeka kirahisi sana

    Nature inanafasi yake ..... male & female
  8. A

    Aina hii ya Wanawake ni kama Kutafuta Nyoka mwenye Miguu

    Samaki hukunjwa angalia mbichi, ukisumbuka na wakavu hutafanikiwa mpaka siku ya mwisho.
  9. A

    Mahakama Kuu yatupilia mbali kesi ya kupinga Ndugai kujiuzulu Uspika. Yasema hakuna ukiukwaji wa Katiba uliofanywa

    Wame tengeneza barua halisi inayokidhi matakwa ya katiba kuepuka kudhalilika Maana katiba ipo wazi kabisa.
Back
Top Bottom