Kama dini na waumini wanaamini
Mungu ndio mwanzo na mwisho
Mungu hana mpinzani......
Mungu anauweza kufanya lolote muda wowote kwa mtu yeyote
Maana yake wanaojifanya mbele mbele kumpigania Mungu.... wapumbavu, wajinga na vilaza.
Yaani eti binadam anajifanya kumpigania na kumtetea Mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.