Ualimu siyo profession kama uhasibu, uwakili au udaktari, hutokea wakati mwingine mtu ambaye hajasomea ualimu akawa fasaha ktk kusomesha somo fulani kuliko aliyesomea ualimu. Kunaweza tokea Economist mzuri ktk accountancy lakini haruhusiwi kufanya formal accounting duties, ila kama kuna...
k
Mbona kama sasa waasi wa Houth wamecharuka wanataka kuichukua Yemen yote! Aisee! Wakati ukuta! Saud Arabia amezidiwa nguvu za kuisaidia serikali ya Yemen
kumbuka yemen ndio jirani wa Saudia mwenye naye mrefu kuliko majirani wengine
Mchawi ni ROI =Return on investment, yaani hiyo tshs 2m unayotaka kuwekeza itachukua muda gani kurudi. kwa kawaida micro business ROI yake haizidi miezi 6 na hiyo ni kwa sbb haigharimu sana ktk fixed costs na mwekezaji anatumia nguvu na maarifa nyingi za kwake yeye mwenyewe sometimes atahusisha...
1. Historia inawabeba, wanasema ukikaa na muuza manukato lazima unukie 2, Networking, mwezi dec kila mwaka wanaenda ku recharge family bonds 3.Discipline 4.Ung"ang"anizi na ujasiri
Kumbuka hawa wazungu wako kwenye "demographic crisis" ili kuendeleza vizazi/idadi inabidi wapate mashababi toka nje. Uzuri wenyewe takwimu wanazo, tatizo linakuja utaongezaje nguvu toka nje bila kuhaKwa hiyo inabaki sitak
hhi nataka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.