Udini unaingia kwa sbbu matamshi ya kumtoa jk ktk ushauri yametolewa na Maaskofu
Na kama mtamsikiliza vzuri yule Askofu anazungumzia uhalali wa JK kutoa ushauri. Na mihemko yetu JF tayari tumeishatoka ktk Mada, the issue here "is he eligible to advise/consult"
Ni ukhanithi wa kiakili kufikiri...
Kuna v2 ukijiuliza saana hupati jibu, mtu anapanga nyumba nzima K/nyama, K/ndoni au Sinza kwa ajili ya saloon ya wadada, gari tinted zinaingia na kutoka, ni nywele tu au kuna biashara nyingine ?
Achana na kitu kinaitwa nguvu ya michezo au burudani , miaka hiyo wakati Filbert Bayi na Juma Ikangaa wanatamba duniani walikuwa maarufu kuliko JK Nyerere au Mt Kilimanjaro, Juzi hapa tumeona Ghalim amezindua brand mpya ya maji Gsm kiwepesi kama kumsukuma teja , kama sio ufadhili ktk ingechukua...
Kuna watu huwa wanapuuzwa, sababu si waongeaji saana, 1o or 15 yrs back Maria Nyerere alionya mustakbali wa nchi akitoa mfano ujasiri wa wananchi wa Mbeya kulipiga mawe gari la Mbunge. Ukweli ni kwamba walioko juu wamekula, wameshiba, wamevimbiwa, wamelewa chakari na wanahisi kama hawaonekani
Ni muhimu kuwa na sehemu ya beach ambayo inatunzwa, kuangaliwa na kuhudumiwa vyema. Kuna thread humu jf inayoonyesha jinsi Serikali ilivyoshindwa kutunza kituo cha mabasi -Msamvu, Morogoro, Ili wakazi wa dar tuweze ku enjoy mandhari nzuri ya coco lazima uwekezaji ufanyike ktk hali ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.