Recent content by Adilinanduguze2

  1. Adilinanduguze2

    Hivi mstaafu Kikwete huwa haambiwi na kupewa taarifa kuwa watu wanamsema vibaya na kumchukia?

    Kama asivyoambiwa juu ya sisi tunaompenda na kumtaja kwa wema
  2. Adilinanduguze2

    Maaskofu walikuwa wapi wakati J. K. Nyerere mara kadhaa baada ya kustaafu alikuwa akishauri serikali ya Mwinyi? Warioba (mstaafu)je?

    Udini unaingia kwa sbbu matamshi ya kumtoa jk ktk ushauri yametolewa na Maaskofu Na kama mtamsikiliza vzuri yule Askofu anazungumzia uhalali wa JK kutoa ushauri. Na mihemko yetu JF tayari tumeishatoka ktk Mada, the issue here "is he eligible to advise/consult" Ni ukhanithi wa kiakili kufikiri...
  3. Adilinanduguze2

    Kuuzwa kama njugu kwa video ya wadada wa kitanzania wanao fanya mapenzi ya jinsia moja kuna leta tafsiri gani?

    Kuna v2 ukijiuliza saana hupati jibu, mtu anapanga nyumba nzima K/nyama, K/ndoni au Sinza kwa ajili ya saloon ya wadada, gari tinted zinaingia na kutoka, ni nywele tu au kuna biashara nyingine ?
  4. Adilinanduguze2

    Mohamed Salah, au "Mfalme wa Misri": Ni vipi mvulana mdogo akawa "nembo ya taifa"?

    Achana na kitu kinaitwa nguvu ya michezo au burudani , miaka hiyo wakati Filbert Bayi na Juma Ikangaa wanatamba duniani walikuwa maarufu kuliko JK Nyerere au Mt Kilimanjaro, Juzi hapa tumeona Ghalim amezindua brand mpya ya maji Gsm kiwepesi kama kumsukuma teja , kama sio ufadhili ktk ingechukua...
  5. Adilinanduguze2

    Tunaelekea katika kipindi ambacho waheshimiwa watazomewa watakapokuwa wamekufa kutokana na yale waliotufanyia wakiwa hai

    Kuna watu huwa wanapuuzwa, sababu si waongeaji saana, 1o or 15 yrs back Maria Nyerere alionya mustakbali wa nchi akitoa mfano ujasiri wa wananchi wa Mbeya kulipiga mawe gari la Mbunge. Ukweli ni kwamba walioko juu wamekula, wameshiba, wamevimbiwa, wamelewa chakari na wanahisi kama hawaonekani
  6. Adilinanduguze2

    Kwanini serikali isianzishe Sheria ya kupima DNA bure mara baada ya mwanamke kujifungua?

    hiyo ndio ajenda yetu ya kwanza kwenye chama chetu cha haki za wanaume tanzania
  7. Adilinanduguze2

    Unahitaji nini kutoka South Africa?

    Classic wanafika Capetown au J'Burg
  8. Adilinanduguze2

    Unahitaji nini kutoka South Africa?

    Nahitaji treadmill, kg 120
  9. Adilinanduguze2

    Nakukemea Albert Chalamila, achana na Cocobeach

    Ni muhimu kuwa na sehemu ya beach ambayo inatunzwa, kuangaliwa na kuhudumiwa vyema. Kuna thread humu jf inayoonyesha jinsi Serikali ilivyoshindwa kutunza kituo cha mabasi -Msamvu, Morogoro, Ili wakazi wa dar tuweze ku enjoy mandhari nzuri ya coco lazima uwekezaji ufanyike ktk hali ambayo...
  10. Adilinanduguze2

    Katiba Nzuri Sana Huvunja Taifa Polepole: Hadithi ya Afrika Kusini, Onyo kwa Watanzania

    Matatizo yaliyotokea/yanayotokea Kenya na South Africa ni ushahidi tosha kuwa aakmapya siyo muarubaini wa matatizo yetu
Back
Top Bottom