Recent content by Adilinanduguze2

  1. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania "Chenji Tumeishiwa, Chukua Pipi" — Huduma Mbaya kwa Wateja Tanzania, Tuzungumze

    Sales of goods ordinance ya mwaka xyz toleo jipya la mwaka xyz linasema kuwa mnunuzi ndiye anaiazimika kuwa/kutafuta chenji ktk muamala wa mauziano
  2. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Nyumba unayotoka kuelekea Nyumba nyingine hutakiwi kubamiza mlango, Kuna cku utataka kurudi
  3. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania wazungu wanajipiga kitanzi kwa kuendelea kuonea huruma wahamiaji haramu: Siku ya leo tu makumi ya maelfu wamevuka Spain

    Kumbuka hawa wazungu wako kwenye "demographic crisis" ili kuendeleza vizazi/idadi inabidi wapate mashababi toka nje. Uzuri wenyewe takwimu wanazo, tatizo linakuja utaongezaje nguvu toka nje bila kuhaKwa hiyo inabaki sitak hhi nataka
  4. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Kama wanawake wengi wa kiislamu hawapendi ndoa ya uke wenza kwanini wasiolewe na Wakristo tu ijulikane moja?

    Polygamy is a behaviour, it doesnt matter wether its formal or informal, a muslim or not, recently we have so many christians who are polygamous(informal) eg Didas Masaburi, hivyo hivyo kuna waislam ambao wameruhusiwa lakini hawapendelei
  5. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Ustadhi: Ndoa nyingi za Kikristo zinadumu kuliko za Kiislam

    Kitanda usicholalia hujui kunguni wake, ndoa nyingi za kikristo watu wanaishi kwa kujionyesha lakini ndani wanaishi vyumba tofauti hii imetokea kwa jirani zangu zaidi ya miaka 20 wanaishi hivyo. Ikatokea mtoto wao wa kiume ndoa yake ikavunjika tikatika siyo ile ya kugawana vyumba bali miji bila...
  6. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Kwanini waumini masikini wasitibiwe au kusoma bure kwenye hospitali na shule za dini

    jpm aliwahi muuliza hh prince aga khan why your hspl is the most expve, while dawa na vifaa vyote havitozwi kodi, alishindwa kujibu
  7. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Naona Kula Mgahawani ni nafuu kuliko kupika kwa mtu mmoja

    Kiuchumi nakubaliana na wewe ila kiafya kuna mashida mingi Kuna shortcuts nyingi ambazo zinawawezesha kupunguza costs mfano matumizi ya ndimu ya mchina badala ya ndimu halisi, matumizi wanyama vibudu au waliokufa na magonjwa. Mgahawani huwezi kupata kila aina ya chakula unachotaka kwa muda...
  8. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Kipi ni chakula hasa (Main Dish) kati ya starch au protein?

    FPC yaani inasistizws uanze fiber, protein then umalize na carbohydrates
  9. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu Nissan Pickup

    Kuna sehemu naifukuzia 2kd naweza pata ushauri kama kuna changamoto zozote kuhusu hizo engine
  10. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Unaweza vipi kuishi sehemu ambayo wenyeji wanawapiga vita wageni?

    Makambako walikuwa na tabia hii cjui kama wameisha erevuka
  11. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Zungu: Kwanini Makampuni ya Simu hayauzi Hisa kwa Umma?, Serikali inapoteza Mapato mengi, TCRA na CMSA wahojiwe

    Hiyo vodacom ambayo lmekidhi wameangalia perfomance ya hisa zake sokoni ? Aacheni kuchanganya siasa na biashara
  12. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Kwanini Air Tanzania (ATCL) wanaogopa kuliweka shirika lake kwenye Hisa DSE?

    Achana na ATC, ATCL ilianzishwa kwa mbwembwe za kisiasa zaidi kiasi ifanye hasara kwa kuwa walianza harusi ukafuatia ushenga na uchumba, yaani baada ya kutafuta routes, kuzifanyia routes costs-benefit analysis then ndio ununue ndege- wakaanza kununua midege kwa mbwembwe sasa ndege zipo ila...
Back
Top Bottom