Kumbuka hawa wazungu wako kwenye "demographic crisis" ili kuendeleza vizazi/idadi inabidi wapate mashababi toka nje. Uzuri wenyewe takwimu wanazo, tatizo linakuja utaongezaje nguvu toka nje bila kuhaKwa hiyo inabaki sitak
hhi nataka
Polygamy is a behaviour, it doesnt matter wether its formal or informal, a muslim or not,
recently we have so many christians who are polygamous(informal) eg Didas Masaburi, hivyo hivyo kuna waislam ambao wameruhusiwa lakini hawapendelei
Kitanda usicholalia hujui kunguni wake, ndoa nyingi za kikristo watu wanaishi kwa kujionyesha lakini ndani wanaishi vyumba tofauti hii imetokea kwa jirani zangu zaidi ya miaka 20 wanaishi hivyo. Ikatokea mtoto wao wa kiume ndoa yake ikavunjika tikatika siyo ile ya kugawana vyumba bali miji bila...
Kiuchumi nakubaliana na wewe ila kiafya kuna mashida mingi Kuna shortcuts nyingi ambazo zinawawezesha kupunguza costs mfano matumizi ya ndimu ya mchina badala ya ndimu halisi, matumizi wanyama vibudu au waliokufa na magonjwa. Mgahawani huwezi kupata kila aina ya chakula unachotaka kwa muda...
Achana na ATC, ATCL ilianzishwa kwa mbwembwe za kisiasa zaidi kiasi ifanye hasara kwa kuwa walianza harusi ukafuatia ushenga na uchumba, yaani baada ya kutafuta routes, kuzifanyia routes costs-benefit analysis then ndio ununue ndege- wakaanza kununua midege kwa mbwembwe sasa ndege zipo ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.