Recent content by Adilinanduguze2

  1. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Utajiri wa taifa lolote duniani si vitu, ni ubora wa watu wake

    UN wananzisha worldwide ranking inayohusu human resource, unaweza kukuta lets say Mchina mmoja anavyochapa kazi ni sawa na waTz 7
  2. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania SERIKALI ILIWEZAJE KUTOA AJIRA ZA UALIMU KWA WATU WASIO WALIMU NA KUWAACHA WALIOSOMEA UALIMU ,PACHUNGUZWE

    Ualimu siyo profession kama uhasibu, uwakili au udaktari, hutokea wakati mwingine mtu ambaye hajasomea ualimu akawa fasaha ktk kusomesha somo fulani kuliko aliyesomea ualimu. Kunaweza tokea Economist mzuri ktk accountancy lakini haruhusiwi kufanya formal accounting duties, ila kama kuna...
  3. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

    k Mbona kama sasa waasi wa Houth wamecharuka wanataka kuichukua Yemen yote! Aisee! Wakati ukuta! Saud Arabia amezidiwa nguvu za kuisaidia serikali ya Yemen kumbuka yemen ndio jirani wa Saudia mwenye naye mrefu kuliko majirani wengine
  4. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Vurugu ya middle east imekuwa kubwa sana

  5. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Mwekezaji anayefichwa anayetaka kuinunua Sinza yote, ni mama mmoja wa Kizanzibari na kijana wake wa kiume, Master mind wa ufisadi wote.

    Inaonekana ni mradi mzuri, walete rasimu tuisome tuijadili, penye mapungufu tuwekane sawa. Mabadiliko ni muhimu sana
  6. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Nimepata Milioni 2 Biashara ya Chips naona ngumu, nawaza kuwekeza kwenye hisa

    Mchawi ni ROI =Return on investment, yaani hiyo tshs 2m unayotaka kuwekeza itachukua muda gani kurudi. kwa kawaida micro business ROI yake haizidi miezi 6 na hiyo ni kwa sbb haigharimu sana ktk fixed costs na mwekezaji anatumia nguvu na maarifa nyingi za kwake yeye mwenyewe sometimes atahusisha...
  7. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

    1. Historia inawabeba, wanasema ukikaa na muuza manukato lazima unukie 2, Networking, mwezi dec kila mwaka wanaenda ku recharge family bonds 3.Discipline 4.Ung"ang"anizi na ujasiri
  8. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Binadamu hawakutoka kwa nyani au sokwe. Huu ni ujinga au uzushi uliosambaa sana

    washaona shida tunazopitia binadamu, hivyo wamegoma
  9. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Warembo wa TBC

    hizi ndio habari tunazopenda wa Tz
  10. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania "Chenji Tumeishiwa, Chukua Pipi" — Huduma Mbaya kwa Wateja Tanzania, Tuzungumze

    Sales of goods ordinance ya mwaka xyz toleo jipya la mwaka xyz linasema kuwa mnunuzi ndiye anaiazimika kuwa/kutafuta chenji ktk muamala wa mauziano
  11. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Nyumba unayotoka kuelekea Nyumba nyingine hutakiwi kubamiza mlango, Kuna cku utataka kurudi
  12. Adilinanduguze2

    JamiiForums Tanzania wazungu wanajipiga kitanzi kwa kuendelea kuonea huruma wahamiaji haramu: Siku ya leo tu makumi ya maelfu wamevuka Spain

    Kumbuka hawa wazungu wako kwenye "demographic crisis" ili kuendeleza vizazi/idadi inabidi wapate mashababi toka nje. Uzuri wenyewe takwimu wanazo, tatizo linakuja utaongezaje nguvu toka nje bila kuhaKwa hiyo inabaki sitak hhi nataka
Back
Top Bottom