kuna tofauti kubwa ya muislamu na uislamu..tambueni mtume muhammad (saw) alikaa na wapagani kwa amani na pia wakikristo.vita alizo pigana yeye ni kwa wale wanaezuia yeye kutekeleza jukumu lake alilotumwa kufanya.pia vita ilikua inapangwa mahala pakufanyika na watoto na wanawake hawaruhusiwi...
tume kichafua wenyewe tutasafisha wenye...ccm sio mbaya,ila baadhi ya watu ndani yake hawaitakii mema nchi!!..hakuna kisicho wezekana ila ni muda unahitajika!!
we tanzanian have our own traditions an ways of running ourselves..in nairoberry if u ask a person for a direction to a certain place,they ask u for little cash first then help u..in tz a person will get a pen first and draw u the directions!!!please dnt compare the rate of corruption of kenya...
well said mkuu..siasa ni hoja na kukubali kushindwa...tuache ushabiki wa vyama,tuweke maslahi ya nchi mbele na tuangalie ubora wa mtu sio chama chake!!
lusinde,lema,mdee,sugu hawatufai sisi watanzania tunae pambana na maisha na tunae itakia mema hii nchi yetu ilie yumba kiuchumi...tunataka kiongozi mwenye jitihada binafsi katika kuwasaidia wananchi kuyapata na kuyafikia wanayo yahitaji,sio mwana siasa mwenye kupewa hadhi asiye stahili na chama...
hoja haikua na tusi,haikua ya kutetea chama fulani,haikua yenye kashfa...hoja ilizungumzia kiongozi bora na kiongozi asie faa katika chama hicho hicho,lengo halikua kukosoa chama bali kumsifu kiongozi bora wa chama hichohicho na kumkosoa asie faa kutoka chama hicho hicho....lengo lilikua...
mbona mna panic??chadema wamewafundisha matusi tu,kuhusu hoja mbona hawajawapa tuition???yani wanawakusanya alafu wakisha fika bei ya kununuliwa wana watekeleza...waulizeni wana tlp,nccr na cuf.....mnafanywa makatuni wakati mmesha balee??
wewe ujinga umeupata upande wa bibi yako,alafu upumbavu umeutoa chadema....adam mtu wa kwanza duniani hakua na elimu ila alikua na hekima...lema hana hekima,alafu wewe kama mtumwa wake unae wekewa mafuta ili ukarushe mawe ndo umekua malaya wa hoja!!!..wewe siasa huiwezi,wewe kaa tu nyumbani uwe...
mie nadhani wewe umepewa uwezo wa kutafakari,ila hujui jinsi ya kutafakari....kama lema alivopewa uwezo ya kuongoza alafu akawa hajui jinsi ya kuongoza!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.