BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Nimesoma hii kipande nkaona ni vyema tuwekane sawa
kwenye gazeti la mwananchi wanasema mh lema amefungiwa miaka 5 kushiriki uchaguzi wowote
sasa kama hivi nahisi wakati muafaka wa kukimbilia rufaa na kuacha wenye vichwa vyao kuwafundisha hawa washenzi mahakimu...naombeni wenye kuelewa hili mtuelekeze
tafadhali
kwenye gazeti la mwananchi wanasema mh lema amefungiwa miaka 5 kushiriki uchaguzi wowote
sasa kama hivi nahisi wakati muafaka wa kukimbilia rufaa na kuacha wenye vichwa vyao kuwafundisha hawa washenzi mahakimu...naombeni wenye kuelewa hili mtuelekeze
tafadhali