Recent content by AdanaVural

  1. AdanaVural

    Bata Bukini na Bata Mzinga wanauzwa

    Habarini wanajamvi, poleni na majukumu ya kujitafutia ridhki. Ninao bata Bukini wanaotarajia kutaga pair 2, yaani majike 2 na madume 2, na Bata mzinga 3 majike 2 na dume 1. Bata wote hawa nawauza kwasababu za kuhama eneo hivyo ni vigumu kuwabeba ndio maana nalazimika kuwauza haraka. Kwa mwenye...
  2. AdanaVural

    Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

    Kwakuwa waliotenguliwa ndio wenye haki ya kuongoza nchi hii kama ilivyoandikwa kwenye katiba.
  3. AdanaVural

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nenda Iringa DC aje Dar es Salaam/Pwani wilaya yoyote ile Idara ya Msingi
  4. AdanaVural

    Kamati ya hadhi ya wachezaji imeshindwa kuamua kesi ya Fei Toto

    Umepuyanga tu bila hata kuweka vifungu vya sheria unavyotaka watu wajue kuwa Feisal ameonewa na kamati. Ukiwa na akili timamu utagundua hakuna sehemu Yanga au kamati au mtu yoyote mwenye akili timamu amesema Feisal hawezi kuvunja mkataba na Yanga, ila kilichopo ni utaratibu na hajalazimishwa...
  5. AdanaVural

    Waarabu wakicheza mpira wa kushambulia watafungwa na Yanga bora wazuie kama mwanzo

    Kama ule mpira rahisi alioshindwa kudaka Manula mara 2 pale Taifa na kule Abidjan
  6. AdanaVural

    Unadhani ni nani anafaa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania baada ya Kassim Majaliwa kumaliza muda wake?

    Ukitutajia kundi la wana CCM wezi waliokubuhu tutakutajia mwizi konki ambaye ndio atakuwa PM wetu.
  7. AdanaVural

    Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya

    Kiukweli Rais wetu anatufadhaisha, yaani nchi inachezewa na wahuni tena mchana kweupe hachukui hatua. Ahueni ya masikini ni kuona kiongozi wake akipambana kulinda rasilimali zao hata kama watalala njaa lakini wanafurahia kuona Rais wao anadhibiti kila aina ya WIZI, sasa kinyume chake, Masikini...
  8. AdanaVural

    Club Africain tofauti yake na KMC, Polisi Tanzania na Kagera ni jezi zao tu ila vyote vilivyobaki ni sawa

    Ni kawaida kama Makolo tunaojipigia tukijisikia kufanya hivyo.
  9. AdanaVural

    Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

    Katika vyote alivyoandika umeona hiyo Airways tu? Utakuwa unaumwa sio bure.
  10. AdanaVural

    Hii ndio sababu magari yanayosafirisha sigara yana ulinzi mkali tofauti na magari yanayosafirisha pombe

    Kwa wastani wengi wana maisha mazuri, ukumbukue kuna watumishi wa Ikulu wanazidiwa mishahara na wale wa serikali za mitaa, ila kwa ujumla Ikulu ni pazuri.
  11. AdanaVural

    DOKEZO No money, no job at Bulyanhulu Gold Mine

    If the so called HR is a Tanzanian, you have to smile and write down.... No Job without money.
  12. AdanaVural

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nenda Iringa DC aje Moro DC/ Kibaha/ Mkuranga. Idara Msingi
  13. AdanaVural

    Kutokutiwa nguvuni Tundu Lissu kesho 27/7/2020 ni kutangaza uasi juu ya Sheria za Nchi yetu

    Madhara ya kuruhusu watubwenye matatizo ya akili kuandika hadharani ndio haya, ungekuwa na akili wala usingeandika hizi takataka zako. Unaowatuna wafanye hivyo wana akili na wanajua madhara ya ushauri wako wa kijinga.
  14. AdanaVural

    Wakuu nikifanya huu ujanja nitakuwa nimekosea kisheria au ni ubunifu wa kijasiliamali

    Usiogope kama unazungumzia bidhaa za masokoni huko kama vyakula hakuna wa kukushika, mfano umekuta dagaa ukaamua kuziweka kwenye vifungashio na kuziongezea ubora nani atakushtaki sasa?
  15. AdanaVural

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Ni kama utamaduni au siasa ya aina fulani iliyozoeleka kila siku takatifu ya Jumapili kuona taarifa za wapi Rais wetu mpendwa ameswali, lengo kubwa huenda lilikuwa kututaarifu juu ya uimara wa Rais wetu katika maswala ya imani yake au kutaka kutuonyesha kuwa Rais ni mtu wa Mungu kwelikweli na...
Back
Top Bottom