Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,247
4,076
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.

Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi Mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi, ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na hitilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali, Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Air ikiwa ni pamoja na kufanya “Age analysis”. Usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wana vigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuzibaziba pancha kama waziba daladala za Buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
 
Assumption zimekuwa nyingi , labda tusubir black box... Kama aliwatangazia abiria kuwa wanachumpa Mwanza , ni kipi kilimfanya akatumbukiza ndege kwenye maji ?

Je aliignore uamzi wa kurud mwanza akaamua atest zari? Maofisa wa control tower walimuuza kumwambia atue ziwani? Mafuta yalikuwa low kurudi mwanza?

Hali ya hewa ilizingua ( poor visibility) akashindwa kuona anga ya kugeuza ndege kurudi mwanza? 😟
 
Maneno yako tu ndio tuyaamini? Subiri uchunguzi taarifa itatolewa uzuri wa ajali za ndege uchunguzi ni comprehensive na hujumuisha taasisi kibao akiwamo na manufacturer l.
Huwezi kufungia shirika kwa sababu ya ajali. Inawezekana tatizo ni aina ya ndege, na kama ni hivyo, basi hizo ndege zichunguzwe au zifungiwe kwa uchinguzi kama walivyofanya pala ndege model fulani za Boeing zilifungiwa kwa uchunguzi. Ajali za ndege hutokea popote duniani kwa mashirika makubwa na madogo.

Precision Air hadi sasa record yake siyo mbaya. Huo mvutano wa Ziwa Victoria ndiyo hatari, hasa ikikumbukwa ndege zinazopita huko ni zile ndogo ambazo hali ya hewa ikichafuka haziwezi kuhimili. Labda marubani waambiwe wakikuta hali kama hiyo wageuze mara moja kwenda kwenye usalama.
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba ... dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100...
Taili za ndege zikishindwa toka Zinatolewa manually,tatizo mifumo ya hydraulic ikishindwa kazi.Maana ndege inaweza tua hata ingini zikizima Kwa kutumia generator ya upepo kuiendesha mifumo ya hydraulic
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za
Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
/
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi , ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na itilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali , Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Airways ikiwa ni pamoja na kufanya Age analysis. usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wanavigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuziba ziba pancha kama waziba daladala za buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Watz bana Mzee hata Black box haijasema nini kilijiri kabla ya ajali we ushakuja na hitimisho. Tulia ripoti itoke chief hizo ndege hupandi wewe tu hata CC tunapanda. Tuacheni ujuaji mwingi ndugu zangu. Eti mkurugenz akamatwe kilio chake kina mengi kuwa serious basi mkuu. Kama ungekuwa unapanda ndege za Ethiopian airlines ungesemaje sasa?
 
Nakubaliani kuwa ile Route ya Mwanza to Bukoba ni hectic one. Mwaka fulani nilipita ile distance ya Mwanza to Bukoba dakika 5 niliziona ni kama Miaka 100.

Ni kama ndege ilikuwa inavutwa kwa lazima back and forth... kibaya zaidi Rubani hakutangaza chochote.

Ni siku ambayo nilisikia Yesu akitajwa zaidi kuliko siku yoyote. Wapo waliozimia kwa Hali ile.

Mimi na Mzungu tulikuwa tumechili.... ndani ya nafsi yangu nikajisemea. Kama leo ndio mwisho wangu .... let the shit happen .... I can’t deny death . Only to realize that I was born to die.

So nikawasha ipad yangu na kuanza kusikiliza the Beatles, waiting for my destiny.

I was eager to see my new beginnings.

Well , baadae ndege ikatua and from that moment nikasema hii ruti sipiti tena. Ikiwa nina Safari ya Bukoba... nina segment safari kwa Lami kwa siku 2.

Ile Distance Mwanza to Bukoba kupitia ziwa , There must be something wrong apart from Nguvu ya Mvutano.

Hoja yangu ya Msingi ni kuhusu hizi ndege za Precision

Mwaka 2011, pale KIA nikiwa na Lowasa na Sumaye, Tairi ya Precision ilipasuka wakati wa kutua , kukatokea taharuki kidogo lakini tukatoka salama.

2018 pale Tabora, tulitumia 30 minutes kutua kwa sababu tairi za ndege zilikataa kuchomoka, kila jamaa akijaribu tairi hazitoki.... baadae tukatua , Jamaa wakadai kuwa ni kawaida kwenye ndege.

Mwaka 2021, Hapo ndio nikaanza kuwaza kuhusu Precision, pale JNIA, tulitua kwa vibaya snaa kana kwamba tupo vitani.

Nimepanda ndege nyingi But ule mtuo, kila mtu alistuka na tukauliza nini shida... hawakutoa majibu.

Hapo hapo JNIA siku nyingine , wakati wa kutua , tairi ni kama iliwaka moto yaani ile kutoa cheche nyingi .... na ilipotua ilitua kwa kishindo ambacho sio cha Kawaida na kila mtu alihoji na wote tulistuka sana.

Baada ya hapo nikawa nimeona Red light , nikasema sipandi tena hizi ndege za
Precision

. Majibu yao baada ya kuhoji yalikuwa ni Joto la Dar ni kubwa ndio maana tairi zimewaka moto.
/
Inawezekana kabisa hali ya hewa ilichangia kutokea ajali lakini Inawezekana kwa asilimia kubwa ndege ilikuwa na shida kama kawaida yao.

Rubaga ni Rubani wa zaidi ya Miaka 25 kwenye kazi hiyo , anajua well enough nini cha kufanya kwenye mazingira hayo ya hali ya hewa...alikuwa anaweza kurudi mwanza na ni mara nyingi alishafanya Hivyo.

Ile ya juzi , ni tatizo la ndege ilipoteza control na ikagoma kutua kwa kutokana na itilafu ndani ya mfumo wa matairi na mfumo wa injini. Ukijumlisha na hali ya hewa , mambo yakaharibika zaidi.

Naishauri Serikali , Isimamishe shughuli zote za Precision na kufanya uchunguzi yakinifu.

Kufanya special inspection ya ndege zote zinazomilikiwa na Precision Airways ikiwa ni pamoja na kufanya Age analysis. usikute haya mandege yamesha Expiry muda wake wa matumizi.

Kufanya special inspection kwa injinia wote wa Precision wanaokagua ndege kabla na baada kama kweli wanavigezo.

Mkurugenzi wa Precision awekwe chini ya ulinzi to extend further special inspection..... machozi yake yana maana nyuma ya pazia , wanajua wazi kuwa hawalipi vyema mainjinia wa Technical inspection. Matokeo yake wanafanya kazi les affairs na kisela.

Wanakagua ndege na kuziba ziba pancha kama waziba daladala za buza.

Hali ya hewa inachukua nafasi ndogo sana kwenye ile ajali, ile ndege ilikuwa ni MBOVU.

Rubani aliyeendesha ni Experienced one , kwa hali ya hewa alikuwa na option nyingi na kwa kufanya mawasiliano na watu wa nchi kavu angeenda kutua Mwanza.

Hapo chini ni uzoefu wa Rubaga... ni zaidi ya 30 years

Captain Buruhani Rubaga

Captain

Precision Air Services PLC
2003 - Present · 19 yrs 11

Zantas Air
1993 - May 2003 · 10 yrs 5 mos

First Officer
AIR TANZANIA COMPANY LIMITED
1990 - 1993 · 3 yrs Bachelor's degree, Mechanical Engineering
1983 - 1987 Sri Jayachamarajendra College of Engineering, Mysore (QIP Centre)

Serikali TAKE Action au Mtazika watanzania wengi
Thank you mr Blackbox, ninakuamini kwa kutumia blackmajic kuyajua tusiyoyajua.
 


Shida ni kwamba watu wengi awataki kukubali kuna protocol procedures za airline kwenye evacuation; ambazo azikifuatwa.

Na wala sio jambo la kushangaza civilians boats kufika wa kwanza in most cases if not all ndege zinazoanguka baharini.

Kuna watu wengi wa kulaumu ila mshitakiwa wa kwanza kama kuna kesi ya negligence mahakamani ni precision air.

Kuna video nyingi you tube za mashirika ya ndege wakitoa training kwa cabin crews on evacuation procedures. Na kuna video za ndege nyingi zilizotua majini kwa dharura kuona how that training was executed.

Precision Air is blameworthy
 
Watz bana Mzee hata Black box haijasema nini kilijiri kabla ya ajali we ushakuja na hitimisho. Tulia ripoti itoke chief hizo ndege hupandi wewe tu hata CC tunapanda. Tuacheni ujuaji mwingi ndugu zangu. Eti mkurugenz akamatwe kilio chake kina mengi kuwa serious basi mkuu. Kama ungekuwa unapanda ndege za Ethiopian airlines ungesemaje sasa?
Hahahahaaaa...hizi ndege zingine tunapanda tu, Mungu ndo anajua...btw hivi ATCL mwaka huu,kulitokea story pia ya picha ya ndege zile zenye matairi 'thread' zilizoisha, hivi walikujabadilisha tairi au bado zinapuyanga Tz...,. kaazi kwelikweli.
 
Back
Top Bottom