Recent content by adammbuya

  1. A

    Maoni ya watu maarufu baada ya hukumu ya Lulu

    wewe unazo kamuweke huru kesha njoa miwili
  2. A

    Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

    hakika mimi ningekua hakim ningemjoa miaka15 nawengine wachukue tahadhari.
  3. A

    Wanawake msikate viuno kama ugomvi

    ikopoa wajirekebishe viuno kama unamfukuza mwizi bwan
  4. A

    Kupiga chafya asubuhi.

    ok,Nitajisaidia vipi kuondokana na tatizo hilo.
  5. A

    Kupiga chafya asubuhi.

    hasa nikioga na maji ya baridi lakini hata nisipooga nikiamka asubuhi lazima nipige chafya kama sita au saba.
  6. A

    Kupiga chafya asubuhi.

    Ndugu habari za hapa naomba kujua kupiga chafya asubuhi niugonjwa au hali yakawaida? pia umalizapo kuoga nakuanza kupiga chafya njingi niugonjwa au nihali yakawaida asanteni.
  7. A

    Rais Magufuli mpandishe cheo askari wetu kwa Ushujaa wake

    Naunga mkono mtoa hoja amewaza kwa sauti tena kaona mbali kwa fikra safi Rais achukue hatua sasa.
  8. A

    Zitto ataka hatua kali zichukuliwe dhidi ya askari polisi aliyemtishia bunduki Malima

    Hawa Askari wapo sawa kwani dhama zinabadilika ukitazama tatizo nikuegesha gari vibaya au katika hali ya hatari mbona nikitu kidogo sana kutiisheria bilashurudi kwani Askari walimsihi aondoe garilake na akawa mkaidi hukunikutumia madaraka vibaya angetoa garilake na mambo yangeenda sawa Mimi...
  9. A

    Haya maajabu

    Mkuu umetisha nahitaji za buku tano niwakomeshe maskani
  10. A

    Je, mlinzi/mpambe wa Rais akiwa nje ya majukumu yake naye huwa analindwa?

    Kwahakika tokea nijiunge huku nashukuru mungu nimeweza kujua mambo mengi sana tena magumu ila asanteni tupo pamoja sana
  11. A

    Nisamehe popote ulipo

    Hugo jamaa sio mtu mzuri kwenye jamii.
Back
Top Bottom