xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Ntulya ipo maeneo gani chief
Hahahaaaaa!! Watu kiboko! Yaani radi inachananguo tu!Mkuu sitanii mwaka 2010 nilikua kikazi huko, kuna mshikaji wangu mmoja alikua askari polisi alikua anatoka na mke wa mtu, you can't blive mshikaji kapigwa na radi mchana kweupe na jua kali cha ajabu ile radi haikumuua ilimchania nguo tu
Hio ni warning tu...Mkuu sitanii mwaka 2010 nilikua kikazi huko, kuna mshikaji wangu mmoja alikua askari polisi alikua anatoka na mke wa mtu, you can't blive mshikaji kapigwa na radi mchana kweupe na jua kali cha ajabu ile radi haikumuua ilimchania nguo tu
mkuu nipeleke nikanunue hiyo ya buku 10. natumai itakuwa kali kushinda y buku 1.Kuna sehemu flani huko sumbawanga maeneo ya kilando wanauza mezani, kuna za buku, hadi buku 10
Mkuu umetisha nahitaji za buku tano niwakomeshe maskaniKuna sehemu flani huko sumbawanga maeneo ya kilando wanauza mezani, kuna za buku, hadi buku 10
AiseeMkuu sitanii mwaka 2010 nilikua kikazi huko, kuna mshikaji wangu mmoja alikua askari polisi alikua anatoka na mke wa mtu, you can't blive mshikaji kapigwa na radi mchana kweupe na jua kali cha ajabu ile radi haikumuua ilimchania nguo tu
Naogopa kusema, sina milioni 7. Chamsingi acha iwe siri yangu.Unataka kumpelekea na nani tena?

afu unalituma kwa sijaribiwi.![]()
![]()
![]()
acha sasa duuh. Nitanunua ya buku 10
na zaidi..............unataka sh ngapi.Una milioni 7 ya haraka hapo![]()
![]()
Huku Swanga kuna jamaa alikopa radi ya buku akaitumia akashindwa kulipa, Muuzaji akamwambia amrudishie radi yake na riba juu!