NTL is an non-profit making organization formed and ran by Tanzanian Youths with the motive and dedication to make a pragmatic change in our nation. NTL is dedicated at nurturing interpersonal growth and complement it with that of our society and nation at large in landmarks of holistic social...
Ni furaha kubwa kwa watanzania kuona Rais wetu akidumisha Upendo,Amani na Mshikamano kwa nchi za afrika mashariki.
Kikubwa ni kujadili Kuhusu mipaka ya ziwa victoria pamoja na ushirikiano katika biashara mbalimbali za kukuza uchumi wa nchi hiz mbili.
Ni mazungumzo yaliyochukua zaidi ya masaa3 ambayo yalilenga kukuza amani na mshikamano katika nchi hizi mbili. Marais hao pia wamezungumzia maswala ya kukuza uchumi katika nchi hiz mbili ili kuleta uwiano katika biashara na masilahi kwa pande mbili.
Pia makubaliano hayo ni pamoja na nchi ya...
Ujio wa Rais wa Kenya Nchini Una manufaa kwa Watanzania Wote.Pia kuonesha Amani na Mshikamano bayana ya Nchi hiz mbili.Hongera Rais @MagufuliJP pamoja na Rais @uhurukenyatta__ kwa Umoja huu.@IkuluTanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.