Activist93
Member
- Jun 30, 2019
- 19
- 13
Kuna watu wanahusisha kuvuliwa ubunge kwa Tundu Lisu na mbio za urais kwa mwaka 2020. Na miongoni mwa watu hao ni viongozi wa juu wa Chadema.
Hivi kweli Lisu ana ushawishi wa kuweza kuwafanya watanzania kumuamini na kumpigia kura hadi Spika Ndugai amuogope na kumfanyia figisu na mtima nyongo?!
Nijuavyo mimi ni kwamba mtu kuwa na sifa za kugombea urais ni jambo moja lakini mtu kuwa na "uwezo" wa kuwa Rais ni jambo lingine kabisa.
Rais anapaswa kuwa na sifa na Uwezo wa " kutoa " uongozi kwa wananchi kama ilivyokuwa kwa mwalimu Nyerere na kama ilivyo sasa kwa Rais Magufuli.
Hivi kweli Lisu ana ushawishi wa kuweza kuwafanya watanzania kumuamini na kumpigia kura hadi Spika Ndugai amuogope na kumfanyia figisu na mtima nyongo?!
Nijuavyo mimi ni kwamba mtu kuwa na sifa za kugombea urais ni jambo moja lakini mtu kuwa na "uwezo" wa kuwa Rais ni jambo lingine kabisa.
Rais anapaswa kuwa na sifa na Uwezo wa " kutoa " uongozi kwa wananchi kama ilivyokuwa kwa mwalimu Nyerere na kama ilivyo sasa kwa Rais Magufuli.