Habari wapendwa, Poleni na majukumu
Kuna mwenzangu alifanya maombi ya uwakala wa M-pesa, na hatua zote alishazifanya ikawa katika harakati za kupatiwa till number yule alokuwa anahusika kuunganisha swala Hilo akafariki(wakala mkuu wa eneo Hilo) na meneger hapatikani Kwa simu. je kunaweza kuwa...
Habar natumaini mu wazima
Nguruwe wangu anatoa ute mweupe sehemu yake ya Uke
Kiumri ana miezi 8.
Naomba kujua hiki kinaashiria nini?
NB:hajawahi kupandwa wala kubeba mimba
kwa watu wengine n kawaida kwasababu huwa inabadilika na kurudi
Ila apunguze stress
Afanye mazoezi ya wastani
Ale mlo mzuri
Lakini pia mazingira huwa ni changamoto kwa watu wengine na kupelekea kusimama/kusuasua kwa hedhi/hormonal imbalance
hiyo issue kama naipata hiv
huyo mwanamke alikuwa anafanya hivo kusud apate pesa na mlikua mnakutana kimapenzi sehem akija kuwasalimia ndg zake na tangia hapo hamjakutana tena zaid ya kuwasiliana na kila unapo wasiliana alikua anakwambia anamimba yako
Na kuna mpango yy aliupanga kwamba baada...
kwani huyo aliyeathirika hahitaji mwenza/au wa kushiriki nae tendo hata hivyo siyo kujidunga bali waweza kunywa pia
Coz tunakutana na wapenzi wengi lakini hatujuani usalama wa kiafya kwa kila mmoja
Hivyo yatupasa kuwa makini!!! Kabla ya kushiriki tendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.