Alipogusa tu people's power ama nguvu ya umma eti maandamano ya vibaka na wanasiasa kanikata stimu. Huyu anaweza kuwa double standard! Time will prove me wrong !
.....hii imetulia sana! wakati maboya wanahangaika kuwahonga vidume vya ukweli vinajipigia kiulani!
...Ahsanteeee
....teh teh
........hii comment ni timamu sana, imesimama! Maboya wa kuhonga hawatii pua kwenye hii comment!
hahah zawadi sawa, ila sio kuhonga! kuhonga ni uboya! wanaume maboya ndio wanaohonga..wanaume wa kweli hawahongi, wanashawishi tu! kama ushawishi wako ni timamu mwanamke hana pa kutokea lazima sound imuingie na mwishowe kuchojoa kwa furaha!
mods buana.......uzito wa neno ujinga na uboya ni tofauti. Tunatumia neno uboya kusherehesha zaidi, lkn ujinga ni neno kali zaidi. Plz naomba mrudishe neno boya ondoeni neno ujinga!
Neno boya ni kama cartoon hv. Kwa mfano nikisema huyu mwanaume ni boya ni kama vile nimesema huyu mwanaume ni...
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho. Na huu ndio udhihirisho wa mwisho wa ccm. Ni sawa na Chadema leo hii wamfute uananchama Mtei. Hakuna awezaye kuniaminisha kuwa ccm kweli imeshindwa kuyafumbia macho maneno ya huyu mzee. Na umri wake wa miaka 80+ mmmhhhhh kweli ccm sasa ni dhahiri mmefika kikomo...
Ndio hili halina ubishi, kama wewe unahonga ujue nguvu yako ya ushawishi kwa mwanamke ni ndogo au hauna kabisa. Halafu wewe mhongaji lazima utakuwa ni mjinga tu.
Kwani mwanamke asipopigwa paipu unadhani atajipiga mwenyewe? Sasa unahonga nini sasa, wakati inaeleweka wazi kuwa hio chiu sharti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.