Nadhani uzi nimzuri. Hapa kuna biashara ya msimu na biashara ambayo ungependa baada ya miaka 3 hadi 5 uko financially stable. Hii ndio nitatolea wazo.
Kuna kilimo cha parachichi kwaajili ya masoko ya nje. Mnaungana kwenye group la watu kama 10 ili muwekeze angalau akari 50 hadi 100...
Idadi ya mizinga inategemea upatikanaji wa maua na maji. Hivyo ni very critical. Kama hivyo sio tatizo, unaweza kuwa na mizinga.kati ya 100-200 kutegemeana na jinsi unavyoitundika. Njia ya vichanja inabeba mizinga.mingi zaidi.
Kuhusu kujua kama mizinga.imejaa, ni suala la calendar.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.