Duh..pole sana mkuu...amini tu kuwa ni wanao.
Usipime dna.
Just walee.What if ukawapima na ukakuta ni wako???
Halaf hawa wapimaji pia unadhan wanataka kuvunja ndoa za watu??hata kama sio waka watasema ni wa kwako tu.Labda iwe special case sanaa
Ahahah.We mnyarwanda nakukubali sana mitazamo yako haiko biased kama yule gentacy nn cjui?
Uko straight sana mkuu.Big up for the facts.Kagame hapo ndipo anawakwaza wenzake.
Ofcz it pains kuona kitu ambacho umekitesekea na kukitaabikia wajinga wengine wanataka kuja kukivuruga kirahis rahis tu.Hawa ma dictator sometimes tunawalaumu bure tu.
Achana nae huyu hakuna anachojua zaid ya midundo na mashairi sijui hit song n.k lakin how hiz mambo zinaingiza pesa hajui lolote.Yy hajiuliz tubkwann mpaka leo ronaldo na messi wanapasua vichwa watu?!zile ni business planns.kiba kukubal kushirik wasaf festival ina business impact kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.