Kuna nyimbo nadhani inaitwa jasmini
wanaimba hivi
"jamsin toto la kishua, nimekuzimia
naja kwako nipokeee,jasmin mim masikini wa hali duni......"alaf kuna sehem wanaimba "wenye maneno usiwaskilize matajiri hawana mapenz jasmin....."
Nimeitafuta toka mwaka 2009
Alihamishiwa lyamungo toka mwaka 2015 na mwaka jana mwanzon akapewa usecond master baada ya malihai kuondoka na akapewa na ualimu wa nidhamu yan nishidah
Yupo sahihi kbs namuunga mkono kama unajiona umezaa maana yake umechagua kuwa mama yani umeukataa uanafunzi sasa kwann upewe nafasi nyingine?
Ila private wanaruhusu kwahiyo kama umezaa fanya uende private...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.