Watanzania bwana ubongo watu huwa unawaza sana kujenga ndo akili huwa haufikilii kuongeza Kipato ndo ujenge utakuta mtu anakwambia mimi nikipata milion kumi najenga vyumba vyangu viwili utafikili akijenga ndo tayali amemaliza tayali yani Anapesa ya muendelezo wa kiuchumi pesa kama iyo ukipata...
Ok ni vizuri but how sure u r yule bwana Hamza alikuwa ameishiwa risas muda mwingine sio kuongea tu na kuandika kwa kuwa tuna uhuru uwo wa kueleza hisia zetu polisi ni ndugu zetu na baba na kaka zetu pia Wana moyo na pia ni binadamu kuwa kuwatolea au kikosoa muda wote haijengi sana but ni mtazamo tu
Uza unga ndani ya wiki utapata litani ,but na huwa ndo Maisha ya mwendo kasi kupenda mafanikio ya haraka pia kuna kuuza mwili dubai na nch za kiarabu mapema tu mafanikio, but natania tu mkuu .
Mtoa mada naona umetumwa kuwaaminisha watu unacho kiamini wewe kwa maslahi yako na tumbo lako na aliye kutuma wananchi wanafahamu na tayali Watanzania wanajua na aliye wazindua ameshaenda zake usilazimishe watu waamini unachoamini wewe.
Ivi bado tu tunawaza utumwa baada ya kutafuta nyia za kutafuta ukipato nje ya utumwa wa ajira ! But ndo wasomi wa kitanzania na africa yani uanze tena kusoma lugha baada ya kutatua changamoto za jamii na kuoata pesa. Ukitatua changamoto za jamii utapata pesa tuache uvivu wa kuaminishana kwenye...
Kweli ili uishi kwa amani na kuonekana mjuvi wa mambo lazima uwe mnafiki ivi jpm aliye kuwa tunamtukana leo kawa mfano mzuri na kukumbukwa kweli Asante. Unafiki na kujipendekeza ili mtu tuonekane wana falsafa wa kuandika au ujuaji mwingi .ukiona unaanza kulala Mika juu yaaisha yako wewe mwenyewe...
Fundi wangu mshikaji wangu nilikuwa nikimpelekea spea za magari pale gereji kwake duu kweli Maisha ni sili nzito usione watu wanamaisha mazuri sana ukatamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.