Unaweza kuendesha kokote barani ulaya na America kasoro nchi chache za asia nchi nyingi nazani unaweza tumia leseni ya nchi yako ndani ya mwaka mmoja wa kukaa kwenye iyo nchi then utabadili kutokana na taratibu zao ila ukumbuke lazima uambatanishe na international driving permit kwa Tanzania...
Kuna saa nachukia mitazamo yatu sisi weusi sijui tuna laana gani sasa badala ya watu kumpa support ndo wanaanza kumuona anatafuta kiki. Angekua mzungu apo tungemuona bonge la mjanja embu acheni izo mambo bana kuna watu wamepita apa tz kwa miguu toka western country’s kwa miguu sasa uyu wetu...
Ukweli amna ujingi kama kua mtumwa wa mtu kuajiriwa ni sawa na utumwa yaana nisome miaka yoote iyo alafu nije kusubiria mshahara wa milion kwa mwezi aisee apana
Kwamfano tu kama nataka kumchangia lisu kwa upande wangu aitazidi laki sasa ndugu iyo laki ndo inaweza kusaidia jamaa zako wote wenye shida? Acha basi bana ina maana wewe ujawai kumnunulia mtu ata kinywaji au chakula? Mbona usiwape ndugu zako izo ela!
Nilitaka kuuliza ili swali maana labda mimi ndo sijui au labda wameazisha ivi karibuni na je watu wanajua garama zake? Au kwa sabubu ni kifo mkafikiri ni bure!
There’s no jangili in this ni sisi binadam tumejiita jangili tuonekane kama sio sisi ni jangili
Ila ukweli amna kiumbe mbaya kwenye ii dunia kama binadamu wikiongozwa na Westerners
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.