Inashangaza sana watu kulalamika ajira na pesa hakuna wakati mtaani mahitaji ya watu ni mengi sana

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Tanzania vijana wanafikirisha sana sana , hasa hawa wanaojiita graduates au wasomi.

Mahitaji ya watu mtaani ni mengi sana na yanazidi kuwa mengi kila uchwao. Watu wana shida na mambo mengi sana ambayo yote ni sources of income.

Huyu anataka hiki , yule anataka hiki , na hana uwezo wa kufanya au kukipata.

Ni aibu kijana kulalamika hana kazi zama hizi.

Aibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania vijana wanafikirisha sana sana , hasa hawa wanaojiita graduates au wasomi.

Mahitaji ya watu mtaani ni mengi sana na yanazidi kuwa mengi kila uchwao. Watu wana shida na mambo mengi sana ambayo yote ni sources of income.

Huyu anataka hiki , yule anataka hiki , na hana uwezo wa kufanya au kukipata.

Ni aibu kijana kulalamika hana kazi zama hizi.

Aibu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa maada ,tunaomba mifano ya mahitaji uliyoyafanyia kazitujifunze..graduates tunakosa mtu wa kutu guide.ni kweli elimu ya darasani ni theory ,lakini experience ya mtaani inasaidia, toeni basi nafasi wajifunze . Kuna mbunge alikuwa anadai vijana wajiajiri,wakati yeye kakulia ajira na akitoka kwenye ubunge hana pakujishika

Toa mifano tujifunze.
 
Sasa mkuu unadhani hapa tuchangie nini sisi!tupe vitu tumezoea bana!mfano Lisu sijui kafanyaje,Nassari kaonewa, sirikali hii ni mbaya sana inatuuzia vitambulisho vya machinga.....nk.hapo tutaserereka na wewe.
BTW hii forum ni reflexion ya akili zetu ukitaka mjadala wa maana andika ujingaujinga utanipa mrejesho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maeneo yanatofautiana, pia hao wanaohitaji mahitaji awana uwezo wakupata mahitaji kwawakati kutokana nakutokua na vyanzo mbalimbali vinavyoweza kuwaingizia vipato vyakuweza kuwafanya waweza nunua hayo mahitaji ambayo sisi vijana tume/tutayaanzisha..

Unazani nini kitafuata hapo?
 
Kila mtu akijiajiri nani atanunua kwa mwenzie? Au ndio the return of barter trade
Kwani mababu zetu waliishi vipi kabla ya ukoloni na matumizi ya pesa.
Ni mgawanyo wa majukumu tu huyu analima yuke anafuga. Mwingine fundi yule mpasua mbao, anauza nguo yule anafungua bucha ivo ivo pesa inakuwa inazunguka
 
Ukweli amna ujingi kama kua mtumwa wa mtu kuajiriwa ni sawa na utumwa yaana nisome miaka yoote iyo alafu nije kusubiria mshahara wa milion kwa mwezi aisee apana
 
Kwani mababu zetu waliishi vipi kabla ya ukoloni na matumizi ya pesa.
Ni mgawanyo was majukumu tu huyu analima yuke anafuga. Mwingine funding yule mpasua mbao, anauza nguo yuke anafungua bucha ivo ivo pesa inakuwa inazunguka
Kipindi chababu zetu ni sawa na kipindi hiki? Hivi kila mtu hapo mtaani kwenu ambaye hana ajira akifungua biashara patakua ni mtaa au soko?
 
Back
Top Bottom