Recent content by abusahim

  1. abusahim

    Tundu Lissu ataka Rais Magufuli asusiwe kila mahali na mataifa mengine duniani

    Siasa nyengine aibu kwa mtu msomi na mwenye akili.. #kama Rais asusiwe basi ni afadhali aanze yeye kususa au ahame nchi ili iwe mfano kwa hayo mataifa.. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  2. abusahim

    GIGY money afanya balaa kwenye Studio za wasafi classic, Rayvany alazimishwa

    Halafu eti boss wa wasafi amevaa kanzu kilemba full muislam lkn amekaa na kahaba hapo ni full zambi #Lana%hizoo@%# Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  3. abusahim

    Tambua kama unadukuliwa WhatsApp yako

    Ahsante kwa msaada wako, kumbe account yng inadukuliwa..
  4. abusahim

    Salome Makamba(Mbunge), ahoji ujenzi uwanja wa ndege Chato, barabara ya Bagamoyo na ununuzi wa ndege

    Upinzani kwenye maendeleo.. Haufai, kama wewe tungalikupa urais ungaliifanyia nini Tz?!
  5. abusahim

    Rais Magufuli anawathamini WanaJamiiForums na Kuipenda, tumuunge Mkono

    Tumuunge mkono kuizamua Tz iyopotea kwenye kina kirefu cha maji kwa mda mrefu, mungu ampe nguvu kuondoa mafisadi nchi nzima..
  6. abusahim

    Spika Ndugai: Askari nikisema mbunge atoke akikaidi mpigeni nawaruhusu

    Dah! Sasa komfuu ndani ya mjengo..
  7. abusahim

    Dodoma: Wabunge Ester Bulaya na Halima Mdee Wafungiwa Vikao vya Bunge kwa mwaka mzima

    Ahsante Hon. Ndugai lazima kiti kiheshimiwe..
  8. abusahim

    Risasi zarindima muda huu Kitunda, mmoja atiwa nguvuni

    Ni bora tuone chanzo halisi cha kurupushani hizo ni nini badala ya kutoa lawama tu za upande fulani..
  9. abusahim

    Kwanini Wakenya hawajui kiswahili!!!

    Bcoz kiswahili si asili yao.
  10. abusahim

    Jaza ujazwe ya Tigo yaleta kizazaa, Jamaa atishia kuwashtaki

    Ni kweli matangazo wanayo toa huleta maana za matusi, najiskia hasira sana kunitumia ujumbe kama huu eti nijazwe! This is misuse of kiswahili lg in our societies.
  11. abusahim

    Siyo Kila Kingaacho ni Dhahabu.

    Na shaba nayo hung'ara..
  12. abusahim

    Hii sio kanda maalum, ni Ethiopia! Mwanamke kuomba kupigwa viboko kuonyesha upendo kwa mume

    Kweli miongoni mwa waafrica wengi wanahitaji to be civilized, binadamu wa kawaida hakai kuwaza vitendo hivyo, aibu na fedheha au hawapo ulimwenguni?
Back
Top Bottom