illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,121
Nikiwa katika pitapita nimesimama hapa Kitunda panaitwa Magole kwa mpemba zinakuja gari ndogo mbili zinakimbizana. Ile gari ya nyuma ambayo naamini ni walinda usalama anatokea mmoja na kupiga risasi hewani lile gari dogo la mbele linasimama na wanatoka wanaume wa tatu mbio mmoja wao kavaa kanzu (sina lengo la kuchfu imani). Ile kanzu ilimfanya asiwe na mbio hivyo kupigwa ngwara na kuanguka kisha kutiwa nguvuni wale wawili walikimbia na polisi waliwakimbiza huku gri lililotumika likitelekezwa.
Binafsi huwa sipendi sana ushabiki mandazi hivyo niliondoka eneo husika. Shikamoo IGP mpya
Binafsi huwa sipendi sana ushabiki mandazi hivyo niliondoka eneo husika. Shikamoo IGP mpya