Huyu Mheshimiwa ni Mwongo tena anapenda kuudanganya umma, hajawahi kuwa mkurugenzi wa PSI- TANZANIA , pale alikwua tu mtu wa mawasiliano , adanganya umma na anaonyesha yaliyomo moyoni mwake , UCHU WA MADARAKA. PSI haijawahi kuwa na mkurugenzi mtanzania zaidi ya Daktari mmoja hivi somebody ROMANUS