Elections 2010 Lewis makame apata kigugumizi na jasho alipohojiwa na waandishi wa habari

Mantissa

JF-Expert Member
Jul 24, 2010
876
166
Jaji Lewis amepata kigugumizi kujibu hoja aliyoulizwa na waandishi wa habari kuwa matokeo anayotangaza yana ukweli ndani yake, alionekana kutetemeka sana huku maneno yakimtoka kwa kukatika katika. Hii inaonesha ni jinsi gani matokeo yanayotangazwa si ya kweli.

jamani, sijui tutatoka lini katika hii shida kutawaliwa na mtu tusiyemtaka.

Slaa usikubali matokeo hadi kieleweke.
 
Hapa mi namuunga mkono rais wangu dr slaa kwa lolote ataloamua...ili mradi lina nia ya kuondoa udhalimu huu!!!!:A S angry:
 
Mwinyi alichapwa kibao hadharani, huyu anastahili kuchapwa viboko 12 mbele ya mkewe !!!
 
Kuna swali aligongwa kwa kiingilishi alijibu kwa jazba moyoni nkajisemea DHAMIRA YAKE YAMSUTAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
kweli hakuna haja ya kutawaliwa kwa lazima na serikali isiyo na tija .

Slaa hakuna haja ya kukubali haya matokeo
 
Kuna swali aligongwa kwa kiingilishi alijibu kwa jazba moyoni nkajisemea DHAMIRA YAKE YAMSUTAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA


waungwana rusheni video hizo kwenye youtube ..n.k tuliookosa wasaa wa kuona nasi tupate ona
 
Mimi niko nyuma ya Slaa, sababu ndiye chaguo la wengi. Na atakalosema talifuata. NEC ni extension ya CCM, haina jipya. Hata matokeo yanayotangazwa hayana mvuto si kwa wana-CHADEMA tu, hata kwa Wana-CCM wenyewe na watanzania wote kwa ujumla. Wameyaona matokeo yalivyokuwa katika majimbo yao, wanamshangaa Makame anavyoropoka ovyo. Hata kama umepewa sheria ya kutangaza, tangaza kadiri ya matashi ya wananchi sio kwa shinikizo. Makame unachafua profession yako kama mwanasheria na zaidi kama Jaji. Mbona aibu hata mtaani ukipita? Pole Makame kwa kukosa utashi binafsi.
 
Huyo mtumwa wa JK hana jipya kwanza nashangaa na uzee wote huo kwani hakuna mwingine aaarrrggg...
 
Huyu kenge sijui aliiba mitihani judge wa wapi hajui sheria na anakuwa mwoga ,mshenzi sana anatetemeka temeka nini njia ya mwongo ni fupi sana! Dr kushinda tulijua isingewezekana angeshinda huyu Mshikaji KJ lakini suala la matokeo ya sehemu alizoshinda Slaa kuchelewa kutangazwa makusudi na kumweka Dr Slaa wa tatu nyuma ya Lipumba ni ufisadi ubinafsi na unyama wa hali ya Juu, Bwana Mungu ni mtu wa haki hakika haki haitapotea , shindwa shetani NEC na malaika zake CCM
 
Mnaweza kusoma maelezo yangu marefu juu ya mtu huyu katika barua niliyombatanisha katika uzi huu https://www.jamiiforums.com/results-matokeo/84539-nec-na-wizi-wa-kura.html
Users
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom