Wewe ni mtu wa ajabu sana. Kile kiwanja kipo Ngerengere halafu unatuambia kuwa hilo jina halifai. Nadhani kwanza ungebadilisha jina uliopewa na wazazi wako maana haliendani na wewe.
Tusiwe premptive kwenye suala hili. Tuache uchunguzi ufanyike na baada ya hapo tutakuwa na haki ya kujadili/kuuliza kuhusu chanzo halisi kama ni uzembe au la.
Mbona unakwenda mbali? Mchungaji ameomba nafasi ya ubunge. Jee vigezo vya elimu kwenye nafasi hiyo ni vipi? Jee yeye anakidhi vigezo hivyo vya kisheria???? Tuache longolongo. Nchini kuna vyama zaidi ya 15 na nafasi ya ubunge zilikuwa wazi kwenye vyama vyote hivyo.
Kwa nini elimu ya Gwajima iwe...
Mimi ninaona hizo ni chuki za kimasikini ambazo ni donda ndugu kwa vijana.
Hapa sizungumzii CCM wala Chama chochote cha siasa na kama kuna chama cha siasa kinaahidi ajira kwa wasomi wote, basi chama hicho ni feki.
Ajira ninavyofahamu inaenda na mahitaji (ikama) Kuna kipindi nchi yetu ilikuwa...
Hivi hadi sasa akili yenu inawatumeni kuwa ukisha soma elimu ya juu ni lazima serikali iwaajirini?? Kama fikra ni hizo, inabidi mngojee peponi maana kwenye dunia ya sasa dhana hiyo imeyayuka kabisa kwani hata huko dunia ya kwanza ni vivo hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.