Mnyika ameshindwa kutumia busara na hekima za bure ktk kuchangia na kuanza kumdhalilisha kiongozi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tz, sikubaliani namna alivyochangia
Kwa hakika mheshimiwa mnyika amesahau kwamba kuwa bunge linaongozwa kwa sheria taratibu na kanuni japo anachokizungumza kwa namna moja au nyingine kina ukweli fulani,alipaswa kutumia busara na hekima
huyu hawa ngumbi anampotezea muda mnyika wa watu ,ni imani yangu kwamba jamaa ni jembe hivyo alishinda kihalali kwa kura za wakazi wa ubungo,hizi ni tapatapa za mfa maji
Sio lazima uamini kama wewe si muumini wa ukweli ni mtu wa kudandia habari yeye mama maria ndiye anaye jua kuliko huyo vicent sijui unataka nini zaidi kama hutaki kuelewa ukweli huu
nadhani uelewa wa huyu vicent ni mdogo sana,ndo maana anatueleza mambo ya msiba wa baba wa taifa kitu ambacho hakina hata maana kwa watanzania kwa kuwa amechelewa kutueleza mambo haya leo ni zaidi ya miaka kumi tangu afariki baba wa taifa
kweli nchi hii huwezi kuwapa wahuni ambao wanadiriki kutoa matusi na huu upotevu wa akili vichwani mwao.ni jambo laajabu mtu mwenye akili timamu kuandika matusi ktk sehemu hii,shame upon u
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.