Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,228
- 9,821
Acheni kumsakama zitto wanachadema. Kama zitto akija kuondoka kwenye chama hakika huo ndio utakuwa mwisho wa chadema.
Hapo napata tabu san kuona thinker kama wewe unaweza kuwa na mawazo kama haya hata kama zitto ataondoka CDM chama kitabaki na kitimarika zaidi na zaidi na kuhakikishia atakaye kufa kisiasa ni zito na wa si chadema.