Mama Maria Nyerere amvika nguo BWM kwa kusema hausiki na kifo cha Nyerere

Chama Chenye Mizengwe ( CCM) as majority if not allTanzanian citizen call it today is a dinosaur from the past. Using business asusual modal for Arumeru campaign will not help the Magamba for long run. CCM you're promising what youcan't fulfill to Arumeru Voters and you know that. You say what you don'tbelieve by yourself, if you tell someone you're going to do something"Maisha bora @ Mtanganyika" do it, "CCM you have to live by yourWords". CCM you'll never continue deceiving (faking) people by preaching thosesweet politics words (fake promises) that you can't fulfill. CCM you know forsure that you don't have proper plans (budget) in a place to turn to for fulfillingyou fate promises for Arumeru Voters. CCM you are drafting in the sea of panicwith no Captain or Map...and you are a Dinosaur from the past "Obsolete". CCM nilikupenda sana lakini Nimeamuakujiunga na Chama Chenye Mtizamo wa Ukombozi ( CHADEMA). CCM umenitesa sana kwa Kukutetea Madhambi yakonilipokuwa kwenye Vikao vyingi , sasa Nimehamua Kuchagua kilicho chema ilinisiendelee kuitesa nafsi yangu. Nimehamuakujiunga rasmi , kwa hali na mali nitakitumikia CHADEMA na Nitafuata na kutii taratibu zote za chamabila unafiki wowote, Mungu Nisaidie, Mungu kisaidie CHADEMA na Mungu IbarikiTanzania na watu wake.
" This is the message of today and will be the message of tomorrow."

 
Source gazeti la magamba

Gazeti hilo linadai kuwa Mkapa hausiki na kifo cha mwl na siri ya kifo anaijua yeye na kinachochekesha eti anaomba Vicent aonywe na amwache muuaji apumzike.


Mimi nashangaa iweje mama Maria aseme Vicent aonywe badala yeye kama mama kumuonya ni imani yangu taarifa inepikwa navyowajua tbc wangemmulika ili wauze sura vzr ila gazeti kwa kuwa hakuna ushahidi wanamwosha damu muuaji

Pole mama huwezi kumsema hata mama yangu angefanya hivyo na kumkataza Visenti.

Sisi sote tunajua kuwa siri hii uijuayo moyoni , ambayo hutapenda kuizungumzia mpaka kaburini ni huyo nyoka mla watu aliyomba kuingia kwenye ukoo yaani mwana haramu ndiye haswa aliyefanya hivyo kwa vile hana unasaba naye ndiye aliyemua.

Asante sana Visenti kuthibitisha yaliyo moyoni.

Je wanajamvi niambieni kuna mchezo gani na uhusiano gani kati ya mtoto wa mirisho na huyu aliyetupotezea baba yetu wa Taifa hasa katika uchaguzi wa 2005? Inaonysha kuna usanii ulichezwa sana, Ben alionekana kumuunga mkono Sumaye lakini baada ya jina la Kikwete kupita alionyesha furaha isiyo na kifani. Hivi ilikuaje?
 
Sio lazima uamini kama wewe si muumini wa ukweli ni mtu wa kudandia habari yeye mama maria ndiye anaye jua kuliko huyo vicent sijui unataka nini zaidi kama hutaki kuelewa ukweli huu
 
Tuachane na majitaka, lakini sasa anaposema "anaomba muuaji aachwe apumzike" naona kama sijasoma vizuri.... kwahiyo Nyerere aliuwawa??

Mtaniwia radhi, sijawahi kucomeent kabisa kuhusu Nyerere kufa naturally au kuuwawa but this now forces me to back to that thread
 
Source gazeti la magamba

Gazeti hilo linadai kuwa Mkapa hausiki na kifo cha mwl na siri ya kifo anaijua yeye na kinachochekesha eti anaomba Vicent aonywe na amwache muuaji apumzike.


Mimi nashangaa iweje mama Maria aseme Vicent aonywe badala yeye kama mama kumuonya ni imani yangu taarifa inepikwa navyowajua tbc wangemmulika ili wauze sura vzr ila gazeti kwa kuwa hakuna ushahidi wanamwosha damu muuaji


Msemaji wa familia ya Mwalimu Nyerere ni nani? kwa nini tubishane!!!! Vicent hawezi kuwa msemaji wa nyumba ya Julius nyerere anaweza kuwa msemaji wa nyumba ya Kiboko Nyerere.

Katika mabishano haya sauti ya mama Maria Nyerere iko juu ya sauti ya Mkapa na Vicent wanabishana wakati wote sio wasemaji wa familia ya Julius Nyerere.
 
Ukweli unabaki palepale Mwalimu ni nembo ya Taifa hakuna mwenye miliki ya jina la Nyerere baada ya kifo chake kama tumekubali ni baba wa taifa. Baba wa Taifa maanake hata jina lake ni la Taifa.
 
Source gazeti la magamba

Gazeti hilo linadai kuwa Mkapa hausiki na kifo cha mwl na siri ya kifo anaijua yeye na kinachochekesha eti anaomba Vicent aonywe na amwache muuaji apumzike.


Mimi nashangaa iweje mama Maria aseme Vicent aonywe badala yeye kama mama kumuonya ni imani yangu taarifa inepikwa navyowajua tbc wangemmulika ili wauze sura vzr ila gazeti kwa kuwa hakuna ushahidi wanamwosha damu muuaji

.
Ama? Muuaji apumzike? Hii ni uthibitisho kuwa Mwalimu aliuawa. Inaposemekana mkapa kumuua Nyerere haimaanishi kwamba ndie aliyebeba hiyo Sumu aliyowekewa hapana. Ni kwamba yeye mkapa alikuwa nyuma ya huo mpango. Na ukizingatia kuwa ndie aliyekuwa rais ana uwezo wa kuwatumia hata majasusi wa nje ya nchi kama ilivyowahi kutokea kwa marehemu Malima alipoondoka nchini mzima akarudishwa nchini maiti, kisa tu alijiondoa sisiem.
Hivyo maneno ya Maria ya mwacheni muuaji apumzike ni ushahidi tosha wa ccm kumuua Nyerere. Na mwenyekiti wakati huo alikuwa ni mkapa.
.
 
Mama Maria Nyerere ana mengi yanayomuumiza,Kwa kweli katika kipindi cha Star TV alizungumza kila asubuhi au anapokwaza na jambo anapokwenda kwenye kaburi na kuongea na Mwalimu,anajua Mwalimu amemwambia Muuaji ni Ben na Mwana wa Kikwete na genge lake akina Lowassa ambao Uraisi kwao ni mbingu

Kwa kutokumgombeza Vicent moja kwa moja Kweli ameongezea mjadala kuwa mapana ,ni kwamba analinda heshima yake hataki kujiingiza kwenye malumbano ya kisiasa Mkapa aseme atuambia kwa nini alishiriki kwenye mauaji
 
Source gazeti la magamba

Gazeti hilo linadai kuwa Mkapa hausiki na kifo cha mwl na siri ya kifo anaijua yeye na kinachochekesha eti anaomba Vicent aonywe na amwache muuaji apumzike.


Mimi nashangaa iweje mama Maria aseme Vicent aonywe badala yeye kama mama kumuonya ni imani yangu taarifa inepikwa navyowajua tbc wangemmulika ili wauze sura vzr ila gazeti kwa kuwa hakuna ushahidi wanamwosha damu muuaji

Wanachonganisha familia hii. Kuna usemi usemao baba yako ni yule mama yako akuambiae huyu ndo baba yako. Inawezekana labda Mkapa anamjua babaye vincenti. Na kama anamjua basi mama wa Vincenti kamwambia Mkapa. Mtu anayemjua baba wa vincenti ni mama yake, atoke hadharani (ka yupo) atuambia vincenti baba yake nani. Mama Nyerere huwa ana utata saa zingine (Kuna mgangono wa kimaslahi yeye kutoa msimamo wazi na hasa kama utaumiza CCM). Pension yake haiko kwenye katiba inategemea tu na hisani ya yule aliyeko madarakani. Pia mama Nyerere amezeeka sana her thinking may not be steady. Hatakiwi kujihusisha na mambo ya kisiasa.

Mwl Nyerere hatumuoni tu kama mumewe peke yake, yeye ni miongoni mwa waasisi muhimu wa taifa hili. Tuna haki ya kuhoji alikufaje, tuna haki ya kuelewa alikufaje. Kama anajua basi atwambie. Hatuwezi kupuuza hints za vincent na hasa ukizingatia ni mtoto wa mdogo wake. Ni mtu wa ndani sana kifamilia taifa haliwezi kupuuza dokezo hilo. Tulijuwa tu kuwa Mkapa alifanya makosa kwenye ku-handle afya ya Mwal. Mtu aondoke mzima, anatembea halafu ... Mkapa mwogepe Mungu!!!!
 
Wanatamani sana mama Maria aseme wapendayo wao.
Roho zawauma sana kwa kauli hii
Haya tafuteni lingine hili limeisha
OTIS
 
Still u don't get it comrade!!
Kuna member hapo juu kasema CCM hawajaihandle vizuri hii issue kwa majibu yao mepesi wakati issue yenyewe ni nzito. Already kumeshakuwa na roumors mitaani kwamba ugonjwa uliomuua JKN sio uliotangazwa, hivyo basi maneno ya Vicent Nyerere ni kama amebold statement iliyokuwepo tayari na kuconfirm stori iliyokuwepo. Hata hiyo stori ya mwalimu wake JKN kulalamika kuwa mwalimu alijua kwamba hatarudi akiwa hai ishasemwasemwa kwahiyo this is going to haunt them even in the 2015 election. Mark my words comrade!!

Mkuu nakubaliana na wewe kuwa Mkapa ni strong weapon kwa CCM lakini ni kwa maana ya kuwaunganisha ndani ya chama na si kushawishi wapiga kura.......
Mkapa, Mwigulu ni baadhi ya wana CCM ambao wanadaiwa hawapo kwenye makundi ya ndani ya CCM na ndio maana linapokuja swala la mivatano kama ilivyokuwa kwa Sioi ilibidi CCM watafute watu watakao wapekeka vitani kama wamoja kwa kuweka makundi pembeni, na ndio hapo sasa Ben anapokuja kuingia

Hili la tuhuma ya Vicent kwa Ben nakuhakikishia ni cha mtoto kabisa, lipo ndani ya uwezo wao kuli handle, baada ya uchaguzi wa Arumeru kwisha na swala hili litakuwa limekwisha
 
Mwacheni marehemu mwalimu Nyerere apumzike kwa amani. nashauri sasa waombe kura za wananchi huko Arumeru badala ya kumuumbua marehemu Nyerere.
 
Source gazeti la magamba

Gazeti hilo linadai kuwa Mkapa hausiki na kifo cha mwl na siri ya kifo anaijua yeye na kinachochekesha eti anaomba Vicent aonywe na amwache muuaji apumzike.


Mimi nashangaa iweje mama Maria aseme Vicent aonywe badala yeye kama mama kumuonya ni imani yangu taarifa inepikwa navyowajua tbc wangemmulika ili wauze sura vzr ila gazeti kwa kuwa hakuna ushahidi wanamwosha damu muuaji
Mama ni lazima ajikoshe kwa sababu bado analishwa na serikali. Aliwahi kukiri kuwa anapata maslahi mazuri kuliko kipindi cha uhai wa JKN.
Kuhusu uuaji na roho ngumu ya BEN sina shaka nalo!!. Nilikuwa mmoja wa waathirika/mashuhuda wa FFU walipokuwa wanafurumisha wazawa kutoka jengo la TANESCO ili "NETGROUP solutions" waingie ndani. Watanzania waseme mabadiliko yaliyopatikana baadaye "Kwa hili na mengi BEN is Unforgivable" Tunahitaji ushahidi na maelezo ya kutosha kuhusu kifo cha kipenzi chetu JKN ama sivyo!!______
 
MAMA NYERERE KWA maneno haya na wewe umehusika na kifo cha MWALIMU..usitake kutuchanganya hapa na majibu yako ya hovyo hovyo haya....
 
Acheni unafiki,magezeti yote ya Tanzania yapo kisiasa zaidi.Ndiyo maana yanapenda kuandika habari za upande mmoja zaidi.Hata kama MAMA maria NYERERE angehojiwa na BBC bado mngeponda kwa vile unaipenda CDM.Siyo lazima wote tuwe mashabiki wa CHADEMA au PONA
 
haya waandishi anzeni kumtafuta mama Maria Nyerere naye amwage mboga.
 
Uhuru na Habari leo: Habari zake nyingi huwa ni za upotoshaji. Sitaki kuamini kuwa MAMA MARIA NYERERE amehojiwa na magazeti hayo na kutamka maneno yaliyoandikwa ktk gazeti la Uhuru.

Mwalimu alikuwa na busara nyingi na mshauri wake alikuwa huyu mama kamwe hataweza kuongea ***** wa uhuru na jambo leo
 
Ezan,Daudi and Kastarehe like this,lakini maneno yaliyoandikwa hapo hayapo katika gazeti. Hakuna pahali ilipoandikwa muuaji apumzike. Kama unakuu gazeti.linukuu kwa usahihi,halafu ndio utoe maoni yako.
Mama Maria amesema hakuna yeyote aliyemuua Mwalimu na kwamba huu mjadala ufe.
 
Back
Top Bottom