Recent content by Abubakary Shacou

  1. Abubakary Shacou

    Nataka kujitosa kwenye biashara ya madini

    Eneo gani chunya lenye ppm mzuri kwaajiri ya ukuzaji wa kifusi?
  2. Abubakary Shacou

    GE2020 Tusemezane: Uhalisia wa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2020

    Nimepima ujumbe wangu kwa mizani huru, Nimetambua unaakili nyingi kuliko aliyeanzisha mada! Mwanzisha mada itakuwa katumwa na either ndiye amekuwa akishauli wapinzani kususia chaguzi kama zile za serikali za mitaa. Nadhani mkakani wa mleta mada ulishapitwa na wakati akamwambie aliyemtuma kuwa...
  3. Abubakary Shacou

    Msajili wa vyama aitaka CHADEMA ijieleze kwanini wanasema wasipochaguliwa wataingia barabarani, Lissu ajibu

    Msajiri kamweleze aliyekutuma kwamba hatukuelewi zaidi ya kutokutenda haki tu
  4. Abubakary Shacou

    GE2020 Watanzania, ni wakati mwafaka wa kuchagua nuru au kuendelea kuwa gizani

    Huu ni uchaguzi wa kimkakati sana kwa kila mpiga kura! Ni either uchaguwe haki au dhuluma! Au uchague mtetezi wa kweli wa wanyonge ama uchague mzalishaji wa wanyonge, shida na mataabiko ya watu. Wapiga kura tumepewa mtihani mkubwa na mwepesi mbele za Muumba wetu. Kabla ya kupiga kura yako...
  5. Abubakary Shacou

    GE2020 Kwa kauli hizi za Dkt. Magufuli, Je atakuwa tayari kuachia madaraka kama atashindwa Uchaguzi?

    Unatumia vipimo gani wewe kutambua utapeli na uzalendo wa huyo magufuli??!
  6. Abubakary Shacou

    GE2020 Kwa kauli hizi za Dkt. Magufuli, Je atakuwa tayari kuachia madaraka kama atashindwa Uchaguzi?

    Huyu Magufuli ni tatizo zaidi ya matatizo ya nchi. Na hasa anapojiona yeye ni mwema kuliko wenzake na kumbe ndiye mbovu kuliko wote ila anabebwa na mfumo aliouandaa tu, lkn ingekuwa haki bin haki ,hoja kwa hoja asingepata hata kura 1M Sema kwavile sisi watz ni bora uzima kuliko haki ya mtu...
  7. Abubakary Shacou

    GE2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

    Mkashitaki kokote mjuako lkn SMS mmeipata na mjitafakali kama nyie ni chombo cha umma kweli au cha ccm?! Na mlitakiwa mpigwe kabisa akili iwakae vzr
  8. Abubakary Shacou

    GE2020 Jaji Kaijage ana nafasi nzuri ya kutengeneza historia na hata kupendekezwa kugombea Tuzo ya Amani ya Nobel

    Kwani wewe kuiondo ccm Madarakani huoni ni kuleta amani? Au amani gani unasemea zaidi ya hii ya kutolewa utumwani?!!!!
  9. Abubakary Shacou

    Upo uwezekano mkubwa Rais Magufuli hatoivusha Tanzania salama

    CCM hawajitambuwi ngoja twende.
  10. Abubakary Shacou

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Tunaelekea kupiga nyungu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Abubakary Shacou

    Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

    Ni uchambuzi nzuri Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Abubakary Shacou

    Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

    Akutafute wapi au unataka na yeye umpoteze[emoji15][emoji15][emoji15]! Mjibu hapahapa kwa faida ya wengi. Alafu na Mimi ninakaswali kwako hivi Yale mawe uliyo jiandika huwa ukiyaona unajihisi vp na fharama za uandishi ulitumia kiasi gani??! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Abubakary Shacou

    Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state

    Wewe unaona wanakuingilia mambo yako ya ndani! Kwani wao ndo wamahukumu Kesi hiyo??! Wewe unaona haki imetendeka ktk Kesi hiyo??! Walioona haki haipo ni watanzania wenzako sasa wewe unalalama kuingiliwa vp! Umeumizwa??! Kwani ungewashauli wenzako wakatenda haki na viapo vile vikatolewa leo haya...
  14. Abubakary Shacou

    Rais Magufuli, please don't bow down kwa hawa mabeberu wa US na EU, waeleze Tanzania ni nchi, a sovereign state

    Tanzania ni koloni la ccm na vibalaka wao Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom