Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
Macho yote yako tume ya uchaguzi chini ya jaji Kaijage mziki huu school mate wangu kihamia asingeuweza kamwe. So far tume inafanya vema. Si vibaya kwa hatua hii kutoa pongezi za awali.
Kuna mambo yanatokea kwa kasi ya ajabu na kwa haraka mno mpaka kuna vitu vinatupita. Ni ukweli usiopingika CCM HAKUKO SHWARI Kuna kila dalili mgombea kasusiwa ama kaachwa yatima wale manguli wa kuisimamia ccm hasa nyakati hizi hawaonekani popote wakikipigania na kukipamba chama.
Kasi ya mgombea wa CHADEMA inaleta taharuki mpya kila hatua anayopiga..na ni taharuki ya hoja zilizojaa sheria...ni wazi kabisa CCM haikujiandaa kabisa na hili waligeuza mazoea yakawa sheria
CCM kumepooza! Huo ndio ukweli mchungu na hata makada wake mitandaoni ni kama wamegeuka majuha na kichekesho kwa hoja zao zilizokosa weledi na mashiko
Jaji Kaijage karahisishiwa kazi nyingi na mgombea wa Chadema ambaye kitaaluma ni mwanasheria nguli...Hivyo basi jaji Kaijage akizisimamia sheria za tume ya uchaguzi kwa weledi (hitaji kubwa la CHADEMA) Bila kujali matokeo yatakuwaje atajitengenezea jina na historia tukuka
Akifanikiwa hilo namuona wazi akitutoa kimasomaso kwenye tuzo za amani za dunia
Kuna mambo yanatokea kwa kasi ya ajabu na kwa haraka mno mpaka kuna vitu vinatupita. Ni ukweli usiopingika CCM HAKUKO SHWARI Kuna kila dalili mgombea kasusiwa ama kaachwa yatima wale manguli wa kuisimamia ccm hasa nyakati hizi hawaonekani popote wakikipigania na kukipamba chama.
Kasi ya mgombea wa CHADEMA inaleta taharuki mpya kila hatua anayopiga..na ni taharuki ya hoja zilizojaa sheria...ni wazi kabisa CCM haikujiandaa kabisa na hili waligeuza mazoea yakawa sheria
CCM kumepooza! Huo ndio ukweli mchungu na hata makada wake mitandaoni ni kama wamegeuka majuha na kichekesho kwa hoja zao zilizokosa weledi na mashiko
Jaji Kaijage karahisishiwa kazi nyingi na mgombea wa Chadema ambaye kitaaluma ni mwanasheria nguli...Hivyo basi jaji Kaijage akizisimamia sheria za tume ya uchaguzi kwa weledi (hitaji kubwa la CHADEMA) Bila kujali matokeo yatakuwaje atajitengenezea jina na historia tukuka
Akifanikiwa hilo namuona wazi akitutoa kimasomaso kwenye tuzo za amani za dunia