fuvu la paka
Senior Member
- Mar 29, 2015
- 133
- 76
Ndugu zangu wana jamvi, kijana wenu baada ya mapambano makali hapa mjini, nimeamua kujitosa kwenye Madini lakini nimelenga Mkoa wa Mbeya Wilayani Chunya, Najua issues za Madini ni Bahati, na mimi nimeona nikajaribu bahati yangu.
Ninaomba kwa mwenye uzoefu wowote wa Mgodini anipe ili niwe na taarifa fulani kichwani.
Karibuni Wanafamilia wa JF
PIA KAMA UPO CHUNYA TUWASILIANE INBOX
Ninaomba kwa mwenye uzoefu wowote wa Mgodini anipe ili niwe na taarifa fulani kichwani.
Karibuni Wanafamilia wa JF
PIA KAMA UPO CHUNYA TUWASILIANE INBOX