Abubakary Shacou
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 392
- 305
Huu ni uchaguzi wa kimkakati sana kwa kila mpiga kura!
Ni either uchaguwe haki au dhuluma!
Au uchague mtetezi wa kweli wa wanyonge ama uchague mzalishaji wa wanyonge, shida na mataabiko ya watu.
Wapiga kura tumepewa mtihani mkubwa na mwepesi mbele za Muumba wetu. Kabla ya kupiga kura yako tafakali maumivu ya jamii nzima na kisha amua kwa haki na siyo usikilize tumbo lako tu.
Mungu alishamaliza kazi yake ya kumukomboa mkombozi wa Watanzania, pale alipomunusuru na kifo baada ya kumiminiwa utitiri wa risasi Mh. Lissu. Mungu aliona ni vema watu wake awaachie mtetezi wao wa kweli na wao watetewa ibaki kazi moja tu ya kumthibitisha kuwa kweli yeye ni mtu wa haki. Hatuna haja ya kuletewa au kuoneshwa muujiza zaidi ya huu wa Lisu kuwa hai na kuibukia kusaka ukombozi wa nchi.
Kama tukiamua kinyume na mapenzi ya Mungu tumeisha na tutaangamia kwa ujinga na kukoswa maarifa kidogo ya kutambua mapenzi ya Mungu juu ya taifa lake.
Tusikubali kuchaguwa utapeli wa ndege, madaraja na viwanja vya ndege tusivyojuwa mahesabu yake na ninani kahakiki husahihi wa pesa na thamani halisi ya ya miradi hii! Lakini pia miradi hii inawezekana isiwe kipaumbele kwa Watanzania tulio wengi.
Ni either uchaguwe haki au dhuluma!
Au uchague mtetezi wa kweli wa wanyonge ama uchague mzalishaji wa wanyonge, shida na mataabiko ya watu.
Wapiga kura tumepewa mtihani mkubwa na mwepesi mbele za Muumba wetu. Kabla ya kupiga kura yako tafakali maumivu ya jamii nzima na kisha amua kwa haki na siyo usikilize tumbo lako tu.
Mungu alishamaliza kazi yake ya kumukomboa mkombozi wa Watanzania, pale alipomunusuru na kifo baada ya kumiminiwa utitiri wa risasi Mh. Lissu. Mungu aliona ni vema watu wake awaachie mtetezi wao wa kweli na wao watetewa ibaki kazi moja tu ya kumthibitisha kuwa kweli yeye ni mtu wa haki. Hatuna haja ya kuletewa au kuoneshwa muujiza zaidi ya huu wa Lisu kuwa hai na kuibukia kusaka ukombozi wa nchi.
Kama tukiamua kinyume na mapenzi ya Mungu tumeisha na tutaangamia kwa ujinga na kukoswa maarifa kidogo ya kutambua mapenzi ya Mungu juu ya taifa lake.
Tusikubali kuchaguwa utapeli wa ndege, madaraja na viwanja vya ndege tusivyojuwa mahesabu yake na ninani kahakiki husahihi wa pesa na thamani halisi ya ya miradi hii! Lakini pia miradi hii inawezekana isiwe kipaumbele kwa Watanzania tulio wengi.