Mwandishi wa Habari mkongwe ambaye amewahi kufanya kazi, sehemu mbalimbali na hatimae akafanya kazi UTPC chini yangu mimi, amefariki dunia jana asubuhi kwenye hospitali ya rufaa ya Bugando Jijini Mwanza.
Mipango ya mazishi yake tutawaarifuni baadaye leo. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la...
Chadema na ACT hawawezi kabisa kushirikiana,kutokaba na historia ya vyama hivyo,wanachoweza kufanya ni kuishi kwa kuvumiliana,na kuukubali ukweli kuwa kwao kushirikiana ni kama mbingu na ardhi
Namtafuta mwalimu wangu kipenzi, John Kuzwa Maganga ambaye alikuwa Mwalimu Mkuu wa Kitongo Primary School, Nzega, alikuja kuchukua nafasi ya Anton Diaz ambaye alihamishiwa shule nyingine. Mwl. Maganga alikuwa rafiki yangu sana, alienda kusoma Mzumbe wakati huo haikuwa Chuo Kikuu.
Nasikia...
Unajua,tujifunze maana ya uhuru wa mtu kutoa maoni,na mzee mwinyi hajaongea kitu kibaya,mradi tu kiridhiwe na watanzania wote,na sababu zake amezitoa kwanini anaomba magu apewe zawadi ya miaka 5 kuongoza
Oh maskini lakini serikali hii kupitia kwa waziri wa afya ilishatangaza kuwa watu watibiwe kwanza malipo baadae na pia maiti wapewe made i yalipwe baadae,sasa imekuwaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.