Abubakar Karsan
Member
- Oct 27, 2019
- 62
- 45
Namtafuta mwalimu wangu kipenzi, John Kuzwa Maganga ambaye alikuwa Mwalimu Mkuu wa Kitongo Primary School, Nzega, alikuja kuchukua nafasi ya Anton Diaz ambaye alihamishiwa shule nyingine. Mwl. Maganga alikuwa rafiki yangu sana, alienda kusoma Mzumbe wakati huo haikuwa Chuo Kikuu.
Nasikia aliwahi kufanya kazi tumbaku Morogoro na Mzinga kiwanda cha silaha huko Morogoro. Mwl. kama uko humu tafadhali sana, tuwasiliane na kama kuna mtu anajua alipo basi amwambie mimi namtafuta sana
Nasikia aliwahi kufanya kazi tumbaku Morogoro na Mzinga kiwanda cha silaha huko Morogoro. Mwl. kama uko humu tafadhali sana, tuwasiliane na kama kuna mtu anajua alipo basi amwambie mimi namtafuta sana