Binaadam weusi, weupe wa kati na kati (Si weusi si weupe) wote tumeumbwa kutokana na kiumbe mmoja tu (Adam).
Adam aliumbwa kwa udongo wa aina mbali mbali (wa rangi nyeusi, rangi nyeupe, udongo mgumu, udongo mlaini, yaani aina zote za udongo alizoumba Mungu katika Ardhi zilitumika kama...
Usidanganye watu na usipotoshe ukweli. Katika mada yangu " CCM inaogopa kivuli cha Maalim Seif" nilisema kuwa viongozi, hasa wa Zanzibar wamevishwa shemere na wana tenda yale alieshika hatamu anataka.
Nilisema pia sasa tutashuhudia misusururu ya viongozi wakipanga foleni kumjuulia hali...
Si kweli, mimi naishi Mbweni Zanzibar, Maalim Seif anaishi nyumba ya tatu kutoka nyumba yangu...jirani kabisa, hapa nje kuna FFU wale tuliowazowea wa kila siku, hakuna mwanajeshi hata mmoja tangu juampili siku ya uchaguzi hadi hivi sasa ninavykwambia niko home na hapo nje hakuna jeshi hata mmoja.
Hiyo habari ya kuwa hayupo nchini ni kweli, Said Hassan Said alikuwa nchini Ujerumani wakati wa uteuzi wake, ila hilo la kwamba hatorudi tena, sijui ukweli wake, ila uhakika ni kwamba sasa hivi yupo Germany!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.