Recent content by Abu Hamid

  1. A

    Tujuzeni kinachoendelea Zanzibar

    Kwa nini usiende mwenyewe kujiona hali halisi...ya kuona sio ya kusikia...ukiona utaelewa zaidi unachokitaka!
  2. A

    Why Black People and White People? (Kwanini kuwe na Mtu Mweusi na Mtu Mweupe?)

    Binaadam weusi, weupe wa kati na kati (Si weusi si weupe) wote tumeumbwa kutokana na kiumbe mmoja tu (Adam). Adam aliumbwa kwa udongo wa aina mbali mbali (wa rangi nyeusi, rangi nyeupe, udongo mgumu, udongo mlaini, yaani aina zote za udongo alizoumba Mungu katika Ardhi zilitumika kama...
  3. A

    Tujifunze upendo wa kweli kwa Magufuli na Shein

    Usidanganye watu na usipotoshe ukweli. Katika mada yangu " CCM inaogopa kivuli cha Maalim Seif" nilisema kuwa viongozi, hasa wa Zanzibar wamevishwa shemere na wana tenda yale alieshika hatamu anataka. Nilisema pia sasa tutashuhudia misusururu ya viongozi wakipanga foleni kumjuulia hali...
  4. A

    Nyumba ya Maalim Self imezungukwa na wanajeshi, hakuna kutoka wala kuingia

    Si kweli, mimi naishi Mbweni Zanzibar, Maalim Seif anaishi nyumba ya tatu kutoka nyumba yangu...jirani kabisa, hapa nje kuna FFU wale tuliowazowea wa kila siku, hakuna mwanajeshi hata mmoja tangu juampili siku ya uchaguzi hadi hivi sasa ninavykwambia niko home na hapo nje hakuna jeshi hata mmoja.
  5. A

    UDSM: GPA ya Maalimu Seif Sharifu Hamad

    naunga mkono hoja yako, haifai kukashifiana kidini
  6. A

    Mwanamke kutongozwa ni lazima, tunawashangaa wanaotoa majibu ya matusi

    Mwanamke akiamua kukupa husumbuki kusema neno hata moja, personality yako tu inaongea. Ukuvamia kizembe ndio yatakukuta kama yaliyokukuta!
  7. A

    Govi langu linanitesa sana

    Nimecheka sana...!
  8. A

    Celebrity Lawyer Albert Msando: Utajiri wa ghafla wamchanganya, afanya kufuru

    Mimi sijaona tatizo la huyu Wakili Msando, gari zake, nyumba zake, pesa zake...na wewe tafuta zako!
  9. A

    Mjadala wa ESCROW Bungeni kurejewa ITV baada ya habari usiku huu

    unajua tofauti ya herufi R na L katika maandishi na matamshi?
  10. A

    Mwanasheria mpya Zanzibar hataki kurudi nchini

    Hiyo habari ya kuwa hayupo nchini ni kweli, Said Hassan Said alikuwa nchini Ujerumani wakati wa uteuzi wake, ila hilo la kwamba hatorudi tena, sijui ukweli wake, ila uhakika ni kwamba sasa hivi yupo Germany!
  11. A

    Rais Kikwete: Nipo tayari kukutana na UKAWA

    Steling wa mchezo anapojiunga na maadui. "STELING"...!!!???
  12. A

    UKAWA ni timu ya Taifa!

    Timu ya Taifa ya Tanganyika? Ya Zanzibar? au Tanzania?
Back
Top Bottom