Mwanasheria mpya Zanzibar hataki kurudi nchini

Mwanasheria mpya Zanzibar hataki kurudi nchini

sisi kina gogo la shamba tulishasema hila kwa wakati huu haina nafasi.huu ni wakati wa uwazi na ukweli kwa sababu wenye kujua mambo ni wengi lakini ccm hawajaliona hilo wao bado wako kwenye mpango wao wa kufanya hila ndio maana wanaumbuka kila wafanyapo hila
 
Anaweza kumuapisha kupitia FaceBook, Twitter, na hata blogu ya Michuzi. Kama kura za maruhani zimepigwa kwa FaceBook, why not kuapishwa kwa njia hiyo hiyo?
 
Hoiii,mbavu zangu bhajameni mtu anaapishwa kwa facebook?
 
hawajuhi kwamba mwanasheria mkuu ni taasis na kumtimua ni sawa na kuwatimua wananchi kwani huyu mtu mmoja anabeba dhamana ya watu wenye mtizamo wa mambo yanavotakiwa kuwa juu ya nchi yao
 
ImageUploadedByJamiiForums1412828024.841765.jpg
Ndie huyu anaitwa Said Hassan Said.
 
Mwaka 1964 wakati Tanganyika inaimeza Zanzibar mwanasheria mkuu wa Zanzibar Dourado alitimuliwa, mwaka 1984 wakati Tanganyika inataka kuimiliki Zanzibar , Rais wa Zanzibar Jumbe alifukuzwa, mwaka 1988 wakati Tanganyika ikishona koti lake waziri Kiongozi Seif Shariff Hamad alifukuzwa , mwaka 2014 wakati Tanganyika ikishona kanzu ya Muungano badala ya koti mwanasheria mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amefukuzwa kazi ......tarakuri ......

Maneno yako ysna ujumbe mzito.
Zanzibar ni lazima tuwatawale ndani ya muungano na mkifanya fyoko mtakuwa kama kina jumbe au seif au hanga au othman sharif au kama sasa judge othman.
Na mkifanya makelele majiti ya matakoni yatawapata kama kina farid.
Huu ndio muungano
 
Habari nilizogusiwa juu juu tu ,kumbe Dr Shein amemteua Mwanasheria Mkuu Mpya wakati mwanasheria huyo hayupo nchini ,yupo majuu na huenda alijiripua huko japo alikuwa ni chini ya Mwanasheria alieondoshwa ,alikimbia mapema baada ya kuona kuna mtikisiko katika bunge la Katiba na haswa baada ya Othman kukacha kuhudhuria.
Hizo ni tetesi tu kuwa jamaa hayupo nchini na hakuna tamaa ya kurudi tena Zanzibar ,ila kama kuna mwenye uhakika kuwa yupo si vibaya akanisahihisha.

Hawachelewi kuajiri mghana au mnijeria ...au mtanganyika Kama walivomteuwa Damian Lubuva ..Baada ya kuwa wametofautiana na Wolfgang Dourado ....cheo Hiki kimekuwa cha Moto Znz muda mrefu
 
Mwaka 1964 wakati Tanganyika inaimeza Zanzibar mwanasheria mkuu wa Zanzibar Dourado alitimuliwa, mwaka 1984 wakati Tanganyika inataka kuimiliki Zanzibar , Rais wa Zanzibar Jumbe alifukuzwa, mwaka 1988 wakati Tanganyika ikishona koti lake waziri Kiongozi Seif Shariff Hamad alifukuzwa , mwaka 2014 wakati Tanganyika ikishona kanzu ya Muungano badala ya koti mwanasheria mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amefukuzwa kazi ......tarakuri ......

kinachofuata sasa sijui ni nini katika huu muungano.
 
Siku hizi Tekinologia imekua sana nadhani watafanya kazi kupitia Skype
 
Mwaka 1964 wakati Tanganyika inaimeza Zanzibar mwanasheria mkuu wa Zanzibar Dourado alitimuliwa, mwaka 1984 wakati Tanganyika inataka kuimiliki Zanzibar , Rais wa Zanzibar Jumbe alifukuzwa, mwaka 1988 wakati Tanganyika ikishona koti lake waziri Kiongozi Seif Shariff Hamad alifukuzwa , mwaka 2014 wakati Tanganyika ikishona kanzu ya Muungano badala ya koti mwanasheria mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amefukuzwa kazi ......tarakuri ......

Mkuu umenishekesha sana hapo ulipoandka Tanganyika ikishona kanzu teh teh teh
 
Mwaka 1964 wakati Tanganyika inaimeza Zanzibar mwanasheria mkuu wa Zanzibar Dourado alitimuliwa, mwaka 1984 wakati Tanganyika inataka kuimiliki Zanzibar , Rais wa Zanzibar Jumbe alifukuzwa, mwaka 1988 wakati Tanganyika ikishona koti lake waziri Kiongozi Seif Shariff Hamad alifukuzwa , mwaka 2014 wakati Tanganyika ikishona kanzu ya Muungano badala ya koti mwanasheria mkuu wa Zanzibar Othman Masoud amefukuzwa kazi ......tarakuri ......

Upepo bado haujatulia inawezekana Seif Sharif Hamad dhoruba hii litamkumba tena asipokuwa ngangari yeye na timu mzima ya CUF.

Wacha hayo maneno unajua kuna watu wanaumia moyo.
 
Hiyo habari ya kuwa hayupo nchini ni kweli, Said Hassan Said alikuwa nchini Ujerumani wakati wa uteuzi wake, ila hilo la kwamba hatorudi tena, sijui ukweli wake, ila uhakika ni kwamba sasa hivi yupo Germany!
 
Watatumia skype kufanya kiapo na kazi zake zote atafanya kwa fax.
 
Habari nilizogusiwa juu juu tu ,kumbe Dr Shein amemteua Mwanasheria Mkuu Mpya wakati mwanasheria huyo hayupo nchini ,yupo majuu na huenda alijiripua huko japo alikuwa ni chini ya Mwanasheria alieondoshwa ,alikimbia mapema baada ya kuona kuna mtikisiko katika bunge la Katiba na haswa baada ya Othman kukacha kuhudhuria.
Hizo ni tetesi tu kuwa jamaa hayupo nchini na hakuna tamaa ya kurudi tena Zanzibar ,ila kama kuna mwenye uhakika kuwa yupo si vibaya akanisahihisha.

Ni kweli hayupo nchini, yupo Germany, na natamani sana asirudi
 
Back
Top Bottom