Sasa unasema nyumba ya shirkh Khalifa nani atamjua kwa jina moja na ni shirkh wa msikiti gani,usikimbilie kutoa habar mpaka ujue hiyo habar ina uelewa upi ili wengine wapate kuelewa vzr,,elezea vzr
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28]ur so creative ulie anzisha the word mhenga na ku admin humu ts so fn inafurahisha sana big up
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Lissu he was right if is that so,for this we have to be realistic kwamba shughuli za uchimbaji na usafirishaj bado zinaendelea so honestly hatujui nn serikali imefanya kuhusu hili km kunampango wa notes za kwenda mahakaman
Kiarabu hiki kwakweli nimeshindwa kukisoma,ila kwakua umeshajua kua mwenzi wako amefanya uchafu huu tena pemben kuna kahiriz kama uhusiano wenu ni wa halali kwa mana ya mke na mume mlie funga ndoa basi si la kukaa kimya lazima ufahamishe ndg kwani mkeo ni mshirikina na nikatika dhambi kubwa sana...
Hivi kweli serikali inashindwa kupambana na hao wauaji ona askar walivyo uawa bila hatia inatia uchungu sana,maeneo ni hayohayo kila siku mauaj kwa nn ulinzi usiwe maalumu askar wanapotea
Kama kusema kweli ni dhambi basi wafukuzen mlio wataja pia mmoja wawili mmewasahau,January makamba,mh mwigulu nchemba ili mzidi kuwapa nguvu wapinzan 2020
Dah kwa maana hy pia tumekoseshwa hajira na wapenda hongo,kuna mambo mengi machafu yaliyokua yamefichwa kwa hili namuunga mkono raisi anatufungua wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.