Recent content by Abie

  1. Abie

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Vip kuna nyongeza?
  2. Abie

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Ngoja niitunze hii comment
  3. Abie

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kama ni kweli basi sio haba
  4. Abie

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Yeah uko down sana.
  5. Abie

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mtusaidie kujua wa TGTS F imeongezeka shilingi ngapi. Maana mfumo umegoma kufunguka
  6. Abie

    PreGE2025 Video za Askofu Gwajima zafutwa Youtube

    Mbona zipo nyingi sana au nyie mna YouTube yenu?
  7. Abie

    Ibrahim Traore akikutana na Putin na akikutana na waafrika wenzie

    🤣🤣🤣🤣🤣 mkuu punguza makasiriko. We mkubali tu mwamba. Ndio icon ya Africa kwa sasa.
  8. Abie

    Barua ya wazi kwa ndugu, jamaa na watanzania kwa ujumla baada ya kupata vitisho vya kuniteka, kuniuwa na kunipoteza

    How do I trust you without a proven evidence? Hujui kama unaweza ukaleta taaharuki hata kwa familia?
  9. Abie

    Namna ya Kuukimbia Umaskini na Kufikia Malengo Makubwa: Mwelekeo wa Kijana Mzawa wa Kitanzania

    Mbona kama mwandiko wa ChatGPt. Anyway, hongera kwa andiko zuri
  10. Abie

    Picha za Tamasha la Jenifa Lopez Saudi Arabia

    Ni anguko kubwa sana la elimu yetu. Imagine mtu hajui kuandika vizuri lugha rahisi kama kiswahili. Na usikute huyu anajijta msomi na ni graduate wa chuo fulani. It is a shame.
  11. Abie

    Swamidwa Habidadi Mkulima Mwenye Ndoto Kubwa Kutoka Burkina Faso

    Duh! Mzee hata picha huoni? Yaani huoni hizo hela ni za kibongo? Aisee kweli Kuna watu ni wabishi tu by nature.
Back
Top Bottom